cash money
New Member
- Apr 27, 2013
- 3
- 0
Ujumbe umefika hata kama utasema kajifunze english, english ki2 gani? mbona ni lugha kama nyingine acha hizo.
Najiuliza kama kweli Mtoa mada alikuwa na nia ya kujenga au kuna agenda ya siri nyuma ya mada yake. Hivi kwa umri wa hawa watoto wa kijijini inaingia akilini kuwa wanaweza kutoa majibu uliyoandika!! Doctor,Police,EngineerView attachment 91855
When i met these little boys at a village called Narumu in Kibosho (Kilimanjaro Region) and asked them about who they wanna be in their future;the first one told me he wanna be a doctor,second one police,third one Engineer and fourth one a Teacher. But when am trying to look to the environments which they are living,studying and even socializing i get a doubt if they will be able to achieve their DREAMS and have a GOOD LIFE which they deserve. CORRUPTION,POOR EDUCATION,SELFISHINESS,etc....<wbr>........WE NEED TO CHANGE.
Najiuliza kama kweli Mtoa mada alikuwa na nia ya kujenga au kuna agenda ya siri nyuma ya mada yake. Hivi kwa umri wa hawa watoto wa kijijini inaingia akilini kuwa wanaweza kutoa majibu uliyoandika!! Doctor,Police,Engineer
hivi sie wanarumu ni wakibosho au wamachame?Still watu wanalialia na wanaotoka "Kaskazini".......thats where Narumu is anyway!
Najiuliza kama kweli Mtoa mada alikuwa na nia ya kujenga au kuna agenda ya siri nyuma ya mada yake. Hivi kwa umri wa hawa watoto wa kijijini inaingia akilini kuwa wanaweza kutoa majibu uliyoandika!! Doctor,Police,Engineer
Ujumbe umefika hata kama utasema kajifunze english, english ki2 gani? mbona ni lugha kama nyingine acha hizo.
Kiswahili lugha ya Taifa.
Na mikoani ah Kiswahili chatumika
Na vijijini ah Kiswahili chatumika.
Kiswahili ligha ya Taifa.
Tujitahidi kuipa kipaumbele na kuachana na hii lugha ya kitumwa.
Nalog off
huwa siwabandui mashoga mimi.Kwa mafumbo dada! nakuzimia! Lazima una mzigo wa shanga kiunoni!
View attachment 91855
When i met these little boys at a village called Narumu in Kibosho (Kilimanjaro Region) and asked them about who they wanna be in their future;the first one told me he wanna be a doctor,second one police,third one Engineer and fourth one a Teacher. But when am trying to look to the environments which they are living,studying and even socializing i get a doubt if they will be able to achieve their DREAMS and have a GOOD LIFE which they deserve. CORRUPTION,POOR EDUCATION,SELFISHINESS,etc....<wbr>........WE NEED TO CHANGE.
Mi dume la mbegu si ndio nashangaa huyu jamaa alivyokurupuka na majibu yake.Washawasha kwani we ni wakike!!!
Mi dume la mbegu si ndio nashangaa huyu jamaa alivyokurupuka na majibu yake.
Nalog off
ni kweli kabisa bado hajazaoea,ndio bi dada niko lindoni ila naomba kukuche nami nikalale.naona bado mgeni kidogo...upo lindoni ama??
ni kweli kabisa bado hajazaoea,ndio bi dada niko lindoni ila naomba kukuche nami nikalale.
Nalog off
Ndio najitahidi kustahamili hivyo.bado masaa kama matano tu ya kuvumilia vilio vya mbu...