Narumu village in Kibosho

Narumu village in Kibosho

Ujumbe umefika hata kama utasema kajifunze english, english ki2 gani? mbona ni lugha kama nyingine acha hizo.
 
View attachment 91855
When i met these little boys at a village called Narumu in Kibosho (Kilimanjaro Region) and asked them about who they wanna be in their future;the first one told me he wanna be a doctor,second one police,third one Engineer and fourth one a Teacher. But when am trying to look to the environments which they are living,studying and even socializing i get a doubt if they will be able to achieve their DREAMS and have a GOOD LIFE which they deserve. CORRUPTION,POOR EDUCATION,SELFISHINESS,etc....<wbr>........WE NEED TO CHANGE.
Najiuliza kama kweli Mtoa mada alikuwa na nia ya kujenga au kuna agenda ya siri nyuma ya mada yake. Hivi kwa umri wa hawa watoto wa kijijini inaingia akilini kuwa wanaweza kutoa majibu uliyoandika!! Doctor,Police,Engineer
 
Najiuliza kama kweli Mtoa mada alikuwa na nia ya kujenga au kuna agenda ya siri nyuma ya mada yake. Hivi kwa umri wa hawa watoto wa kijijini inaingia akilini kuwa wanaweza kutoa majibu uliyoandika!! Doctor,Police,Engineer

Kwel mkuu so ajabu ao madogo hata kiswahili hawajui
 
Najiuliza kama kweli Mtoa mada alikuwa na nia ya kujenga au kuna agenda ya siri nyuma ya mada yake. Hivi kwa umri wa hawa watoto wa kijijini inaingia akilini kuwa wanaweza kutoa majibu uliyoandika!! Doctor,Police,Engineer

Kwel mkuu so ajabu ao madogo hata kiswahili hawajui
 
Ujumbe umefika hata kama utasema kajifunze english, english ki2 gani? mbona ni lugha kama nyingine acha hizo.

Shida siyo Lugha peke yake, Kupitia maandishi ni rahisi kutambua uwezo wa akili ya mtu. Hebu ona ujmbe ulioleta kwa JF kama una uwiano!! Angalia umri wa watoto hao kama wanaweza kweli kutoa majibu uliyoandika. Ona lugha uliyotumia kuwaletea wana JF. Kwani ilikuwa lazima kutumia lugha ya kigeni kutupa ujumbe huo? Tumia lugha unayoielewa kwani wabongo watakuelewa tuu. SI wabongo umewaandikia? Acha Utumwa wa kimawazo kudhani ukiandika kizungu utaonekana msomi. Hata maprofesa wa lunga ya kiswahili wapo. Acha ushamba.
 
Kiswahili lugha ya Taifa.
Na mikoani ah Kiswahili chatumika
Na vijijini ah Kiswahili chatumika.
Kiswahili ligha ya Taifa.
Tujitahidi kuipa kipaumbele na kuachana na hii lugha ya kitumwa.
Nalog off
 
Kiswahili lugha ya Taifa.
Na mikoani ah Kiswahili chatumika
Na vijijini ah Kiswahili chatumika.
Kiswahili ligha ya Taifa.
Tujitahidi kuipa kipaumbele na kuachana na hii lugha ya kitumwa.
Nalog off

Kwa mafumbo dada! nakuzimia! Lazima una mzigo wa shanga kiunoni!
 
Hio picha nadhani inaeleza how people in this village are;, Mbunge wa jimbo hili na viongozi waandamizi wameshindwa kuleta sera ya maendeleo ya jimbo.
 
View attachment 91855
When i met these little boys at a village called Narumu in Kibosho (Kilimanjaro Region) and asked them about who they wanna be in their future;the first one told me he wanna be a doctor,second one police,third one Engineer and fourth one a Teacher. But when am trying to look to the environments which they are living,studying and even socializing i get a doubt if they will be able to achieve their DREAMS and have a GOOD LIFE which they deserve. CORRUPTION,POOR EDUCATION,SELFISHINESS,etc....<wbr>........WE NEED TO CHANGE.



Simple answer. CCM kills dreams.
 
Back
Top Bottom