Narudia tena: Magufuli si wa kuchezea

kwa jinsi mambo nanavyokwenda lately, wapo watakaotamani kurudisha maneno yao kuwa " hii nchi inaendeshwa na washamba" that was a very reckless statement. Now they have to pay for that.
 
Unadhani Reich Führer Adolf Hitler, Dk Al haji Idd Amin,Mfalme Jean Bedel Bokassa , nao walikuwa watu wa kuchezewa?
Sasa hivi wako wapi?
Seuze mPhD feki ya juisi ya korosho
 
Mi nilikuwa naziona flyovers kwa majirani zetu Kenya zikipendezesha jiji la Nairobi..nikahisi kwetu ni kitu ambacho hakitakuja tokea na hakiwezekaniki..khaa Jamaa kuingia naona zinachipua kama uyoga..noma sana..kweli kila kitu kinawezekana chini ya jua.
Kwa hiyo ndio lilikuwa hitaji kuu huko kijijini kwenu?
 
Tunakwenda mwaka wa NNE sasa,huu sio wakati wa kumuuza tena magufuli,ni wakati wa kufanya kazi na kutathimini matokeo ya hiyo kazi
Watu bado mko kwenye kampein mode fulltime why?
 
Unadhani Reich Führer Adolf Hitler, Dk Al haji Idd Amin,Mfalme Jean Bedel Bokassa , nao walikuwa watu wa kuchezewa?
Sasa hivi wako wapi?
Seuze mPhD feki ya juisi ya korosho
Wameshakufa.
Na hiyo ni kwa kila binadamu
 
Wanabodi wanajamii na watanzania kwa ujumla, nawasihi kila Siku kwamba namuona Magufuli kwenye sura za akina sokoine, Nyerere, Mkapa, Tumain el Kihwelu, na saa Nyingine ni kama Mrema Wa enzi zile,

Kwanza tumjue Magufuli ni nani,

Magufuli ni rais Wa jamhuri ya muungano Wa Tanzania,

Mambo yapi yanayoonesha magufuli hana utani kazini wala hataki kukwamishwa,

1. Wakati huu mamlaka zimekuwa active zaid kushughulikia wale wakosaji hata kabla ya yeye kutamka lolote maana wanajua akitamka ni mbaya zaid, bora watende kabla hajatamka

2. Magufuli hataki kutoa ahadi za kuridhisha tu , kama haiwezekan ni haiwezekan, fuatilia hotuba zake nyingi,

3. Magufuli ni mtu asiyependa kukwamishwa wala kubishiwa au kumtoa kwenye misingi anayoamini yeye,

4. Hacheki na MTU na hapendi kujaribiwa na hajaribiwagi

5. Upinzani na watu kwa ujumla wapo.kimya na wanachunguza maneno kabla hawajasema, imekuwa kama mwalimu nyerere vile, ukisema vibaya au kukashfu uko mikononi

6. Wala rushwa na wabadhirifu wanahaha wanashindwa wafanye nini kila kukicha maana njia zote kazibana

7. Magufuli ameweza kuelekeza hela za rambirambi bukoba zifanye mambo ya jamii ya bukoba na hakuna Wa kuhoji wanahoji chini chini,

8. Magufuli anania njema na Tanzania hivyo ukitaka kuleta ujinga tutakutunza sehem Salama kwanaza

9. Magufuli ndo kafanya Maalim seifu kukaa kimya na kuishia kujifariji kuwa kesi iko ICC, na kakataza fyokofyoko.

10. Magufuli ndo kafanya mnyika, mdee na wengine kukaa kimya maana utawala huu hauhitaji ujinga,

11. Magufuli ndo amesababisha Tanzania kujulikana upya uku Nje tulipo na kutambulika sana kama nchi yenye heshima,

12. Kama humjuhi magufuli hebu jaribu kumjaribu maana hata thread nyingi zinafutwa na mods kwa kuogopa,

13. Magufuli kafanya shilling ithaminiwe tena hakuna tip tena kwenya hoteli na bar

14. Mi namuona Magufuli kama MTU sahihi kuongoza nchi ambayo ilikuwa imepinda ,


Dah Magufuli!!!!!!!!!!!
Kwa kuchezea hela za wananchi masikin sio wa mchezo mkuu.Ndo silaha yake baada ya kushindwa kila kona!!
 
Kwa nni haujasema kwamba, Magufuli siyo wa Mchezo kwa sababu ameanzisha SIASA ZA KIGAIDI ndani ya Nchi iliyokuwa na amani tele, hekima, Upendo na Busara miongoni mwa watanzania na sasa kumeshamili ugaidi wa WATU WASIOJULIKANA!?
Kwa nini haujasema, Magufuli siyo wa Mchezo kwa sababu km mwenyekiti cha CCM, kabadili sura na sera za chama chake kuwa za kigaidi, yaani kuteka, kutesa na kuua wananchi wasiyo na hatia!?
Kwa nni haujasema, Magufuli siyo wa mchezo kwa sababu, amebadili jina halisi la CCM- Chama Cha Mapinduzi na kuwa CHAMA CHA MAGAIDI a.k.a WATU WASIOJULIKANA!?
Magufuli huyu huyu mwenye kiu ya kuua wananchi kwa Njaa!! Wanaomsifia wamelaaniwa km alivyolaaniwa na Mungu kwa kuua Watu wa Mungu
 
kwa jinsi mambo nanavyokwenda lately, wapo watakaotamani kurudisha maneno yao kuwa " hii nchi inaendeshwa na washamba" that was a very reckless statement. Now they have to pay for that.
Aliyesema maneno yale alikuwa mpigaji wa awamu ya nne, njia zote zinapozibwa ndio anaongea upuuzi utadhani yeye sio mtu aliyezungukwa na hao washamba huko ambako wazazi walizaliwa.
 
kwa jinsi mambo nanavyokwenda lately, wapo watakaotamani kurudisha maneno yao kuwa " hii nchi inaendeshwa na washamba" that was a very reckless statement. Now they have to pay for that.
Ndio tanzania ya viwanda mlio waahidi watz?
 
Mi nilikuwa naziona flyovers kwa majirani zetu Kenya zikipendezesha jiji la Nairobi..nikahisi kwetu ni kitu ambacho hakitakuja tokea na hakiwezekaniki..khaa Jamaa kuingia naona zinachipua kama uyoga..noma sana..kweli kila kitu kinawezekana chini ya jua.
Sure
 
Wanabodi wanajamii na watanzania kwa ujumla, nawasihi kila Siku kwamba namuona Magufuli kwenye sura za akina sokoine, Nyerere, Mkapa, Tumain el Kihwelu, na saa Nyingine ni kama Mrema Wa enzi zile,

Kwanza tumjue Magufuli ni nani,

Magufuli ni rais Wa jamhuri ya muungano Wa Tanzania,

Mambo yapi yanayoonesha magufuli hana utani kazini wala hataki kukwamishwa,

1. Wakati huu mamlaka zimekuwa active zaid kushughulikia wale wakosaji hata kabla ya yeye kutamka lolote maana wanajua akitamka ni mbaya zaid, bora watende kabla hajatamka

2. Magufuli hataki kutoa ahadi za kuridhisha tu , kama haiwezekan ni haiwezekan, fuatilia hotuba zake nyingi,

3. Magufuli ni mtu asiyependa kukwamishwa wala kubishiwa au kumtoa kwenye misingi anayoamini yeye,

4. Hacheki na MTU na hapendi kujaribiwa na hajaribiwagi

5. Upinzani na watu kwa ujumla wapo.kimya na wanachunguza maneno kabla hawajasema, imekuwa kama mwalimu nyerere vile, ukisema vibaya au kukashfu uko mikononi

6. Wala rushwa na wabadhirifu wanahaha wanashindwa wafanye nini kila kukicha maana njia zote kazibana

7. Magufuli ameweza kuelekeza hela za rambirambi bukoba zifanye mambo ya jamii ya bukoba na hakuna Wa kuhoji wanahoji chini chini,

8. Magufuli anania njema na Tanzania hivyo ukitaka kuleta ujinga tutakutunza sehem Salama kwanaza

9. Magufuli ndo kafanya Maalim seifu kukaa kimya na kuishia kujifariji kuwa kesi iko ICC, na kakataza fyokofyoko.

10. Magufuli ndo kafanya mnyika, mdee na wengine kukaa kimya maana utawala huu hauhitaji ujinga,

11. Magufuli ndo amesababisha Tanzania kujulikana upya uku Nje tulipo na kutambulika sana kama nchi yenye heshima,

12. Kama humjuhi magufuli hebu jaribu kumjaribu maana hata thread nyingi zinafutwa na mods kwa kuogopa,

13. Magufuli kafanya shilling ithaminiwe tena hakuna tip tena kwenya hoteli na bar

14. Mi namuona Magufuli kama MTU sahihi kuongoza nchi ambayo ilikuwa imepinda ,


Dah Magufuli!!!!!!!!!!!
Ni kweli sii wa kuchezea, na kwa kawaida hakuna mtu timamu anacheza na kichaa.
Ukichaa kajinenea peke yake
 
Wanabodi wanajamii na watanzania kwa ujumla, nawasihi kila Siku kwamba namuona Magufuli kwenye sura za akina sokoine, Nyerere, Mkapa, Tumain el Kihwelu, na saa Nyingine ni kama Mrema Wa enzi zile,

Kwanza tumjue Magufuli ni nani,

Magufuli ni rais Wa jamhuri ya muungano Wa Tanzania,

Mambo yapi yanayoonesha magufuli hana utani kazini wala hataki kukwamishwa,

1. Wakati huu mamlaka zimekuwa active zaid kushughulikia wale wakosaji hata kabla ya yeye kutamka lolote maana wanajua akitamka ni mbaya zaid, bora watende kabla hajatamka

2. Magufuli hataki kutoa ahadi za kuridhisha tu , kama haiwezekan ni haiwezekan, fuatilia hotuba zake nyingi,

3. Magufuli ni mtu asiyependa kukwamishwa wala kubishiwa au kumtoa kwenye misingi anayoamini yeye,

4. Hacheki na MTU na hapendi kujaribiwa na hajaribiwagi

5. Upinzani na watu kwa ujumla wapo.kimya na wanachunguza maneno kabla hawajasema, imekuwa kama mwalimu nyerere vile, ukisema vibaya au kukashfu uko mikononi

6. Wala rushwa na wabadhirifu wanahaha wanashindwa wafanye nini kila kukicha maana njia zote kazibana

7. Magufuli ameweza kuelekeza hela za rambirambi bukoba zifanye mambo ya jamii ya bukoba na hakuna Wa kuhoji wanahoji chini chini,

8. Magufuli anania njema na Tanzania hivyo ukitaka kuleta ujinga tutakutunza sehem Salama kwanaza

9. Magufuli ndo kafanya Maalim seifu kukaa kimya na kuishia kujifariji kuwa kesi iko ICC, na kakataza fyokofyoko.

10. Magufuli ndo kafanya mnyika, mdee na wengine kukaa kimya maana utawala huu hauhitaji ujinga,

11. Magufuli ndo amesababisha Tanzania kujulikana upya uku Nje tulipo na kutambulika sana kama nchi yenye heshima,

12. Kama humjuhi magufuli hebu jaribu kumjaribu maana hata thread nyingi zinafutwa na mods kwa kuogopa,

13. Magufuli kafanya shilling ithaminiwe tena hakuna tip tena kwenya hoteli na bar

14. Mi namuona Magufuli kama MTU sahihi kuongoza nchi ambayo ilikuwa imepinda ,


Dah Magufuli!!!!!!!!!!!
Kwa nchi kupinda ni kweli, lakini sijui kama atafanikiwa "kuionyoosha", sidhani. Kwasababu ametumia mbinu mbovu. Angeweza, lakini hajatumia busara Zaidi. Nchi ni kweli imeoza all the way to its core. Customer service is one of the worst in the world in my opinion. I don't agree with his measurements.
 
80 Reactions
Reply
Back
Top Bottom