pundadumeafrika
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 1,619
- 2,074
mzee wa kukimbia wanyonge kwenye misiba
na anaongoza kwa utekaji chini ya utawala wake..
kaharibu uchumi na amani ya nchi..
wajinga hufikiria maendeleo ni kutoa hela iliyopo na kununua ndege au kujenga flyover
shilingi inazidi kuporomoka..
phd inatafutwa nje ikajenge hoja imeishia kumwaga mipasho mtaani, mara mimi jiwe, mara nitieni girisi..
na anaongoza kwa utekaji chini ya utawala wake..
kaharibu uchumi na amani ya nchi..
wajinga hufikiria maendeleo ni kutoa hela iliyopo na kununua ndege au kujenga flyover
shilingi inazidi kuporomoka..
phd inatafutwa nje ikajenge hoja imeishia kumwaga mipasho mtaani, mara mimi jiwe, mara nitieni girisi..