Narudia mara kumi Nyerere sio Mungu

Narudia mara kumi Nyerere sio Mungu

Nilichompenda mzee Nyerere ni jinsi alivyoipinga rushwa kwa vitendo. Japo sikuwa na akili kipindi chake, lakini matendo yake yanaishi hata saivi. Hakuwa na tamaa ya mali kama hawa jamaa zetu waliojenga na kujenga huko sauthafrika...!
 
its very true he was not God, and none claim he was so. His policies had vision and goals of achieving the best standard of lives for all. He believed in unity, YES! all right minded people does, thats why he tried to unit Tanganyika and Zanzibar. He believed in self reliance and sharing of national cake equally and fairly, YES, we all want that, and KILIO kikubwa cha upinzani ni hicho, Nchi isiwe tegemezi (na watu wake pia) na tufaidi sote rasilimali za nchi. Single or mult party in his time was not so important, we call it place based politics. YES, when he realiased the need, he accepted it even when the people (through tume ya maoni walikataa).

His policies were right at the time with the people of the time, but there were no people who understood him to translate the policies into practice. He was surrounded with wrong people, and YES he was not GOD to change them, but he tried to control them and that is what he did as human. He is dead now, he has done is part, lets do ours sasa.
Excellently said!
 
Baba wa taifa Mwalimu Julias Kambarage Nyerere ni shujaa wa kukumbukwa daima, amefanya mambo mengi mazuri kwenye taifa lake la Tanzania.

Alikuwa mzalendo wa kweli, mpenda haki, alichukia rusha wazi wazi tena si kwa kuimba tu la asha alifanya kwa matendo lakini baba wa taifa hakuwa Mungu, hakuwa malaika na hajawa mtakatifu bado kwa hiyo alikosea kama mwanadamu.

Na alikiri wazi wazi bila kificho, japo alifanya mengi mazuri kimsingi na yanahitaji kupongezwa lakini alikosea vile vile na kosa kubwa alilofanya kubwa kabisa ni kuuwa mipaka ya Tanganyika, kosa la pili ujamaa na kujitegemea na kosa la tatu ni mfumo wa chama kimoja.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.

Yes, Nyerere hakuwa Mungu lakini hastahili kutukanwa na akina Tundu Lissu na wengineo! Shame on Tundu Lissu, et al! Nilikuwa namheshimu sana Tundu Lissu lakini nimemdharau tangu alipoonyesha kejeli, dharau na matusi kwa baba wa taifa! Kibaya zaidi ni pale walipokimbilia kinafiki kwenye kaburi lake huko Butiama kwenda "kusafisha" dhamiri zao mbaya!
 
Baba wa taifa Mwalimu Julias Kambarage Nyerere ni shujaa wa kukumbukwa daima, amefanya mambo mengi mazuri kwenye taifa lake la Tanzania.

Alikuwa mzalendo wa kweli, mpenda haki, alichukia rusha wazi wazi tena si kwa kuimba tu la asha alifanya kwa matendo lakini baba wa taifa hakuwa Mungu, hakuwa malaika na hajawa mtakatifu bado kwa hiyo alikosea kama mwanadamu.

Na alikiri wazi wazi bila kificho, japo alifanya mengi mazuri kimsingi na yanahitaji kupongezwa lakini alikosea vile vile na kosa kubwa alilofanya kubwa kabisa ni kuuwa mipaka ya Tanganyika, kosa la pili ujamaa na kujitegemea na kosa la tatu ni mfumo wa chama kimoja.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Pamoja na kukiri kwako utumishi uliotukuka wa Mwalimu, nani alikuwambis ni mtskatifu, achia mbali kuwita mungu?
 
You must be kidding.

We were the poorest in the world within 10 Years of his rule.
....Kaongee huu utumbo wako kwa ndondocha wenzako wa Magamba. Kwani kuna hata kiongozi mmoja wa magamba ambae katika utawala wake alifanya tuonekane ''Richest in the World?''

CCM wote vichwa vyenu vibovu, kuanzia nyie misukule wao hadi hao waliowaroga.
 
Yes, Nyerere hakuwa Mungu lakini hastahili kutukanwa na akina Tundu Lissu na wengineo! Shame on Tundu Lissu, et al! Nilikuwa namheshimu sana Tundu Lissu lakini nimemdharau tangu alipoonyesha kejeli, dharau na matusi kwa baba wa taifa! Kibaya zaidi ni pale walipokimbilia kinafiki kwenye kaburi lake huko Butiama kwenda "kusafisha" dhamiri zao mbaya!
......Acha maneno kaka!. Wametukanwa manabii na mitume ndo atakuwa huyo Marehemu?. Tundu Lissu amemtukana tusi gani huyo marehemu.
 
Mwacheni Mwalimu apumzike kwa amani. Watakuja lakini hawatamfikia hata kwa fitna wanazomfanyia. Filosofa hafutwi kwa fitna.

Kipindi cha Mwalimu wapuuzi kama wewe mlikuwa mnapotezwa kimya kimya tu. Huwezi kumchafua Nyalandu kwa tamaa zako za kijinga halafu uachwe
 
Yes, Nyerere hakuwa Mungu lakini hastahili kutukanwa na akina Tundu Lissu na wengineo! Shame on Tundu Lissu, et al! Nilikuwa namheshimu sana Tundu Lissu lakini nimemdharau tangu alipoonyesha kejeli, dharau na matusi kwa baba wa taifa! Kibaya zaidi ni pale walipokimbilia kinafiki kwenye kaburi lake huko Butiama kwenda "kusafisha" dhamiri zao mbaya!

Tundu Lissu hahitaji kuheshimiwa na wewe. Mamilioni kwa mamilioni ya Watanzania wanaomheshimu wanatosha. Wewe jf tu hawakuheshimu, walikutimua kama mbwa kwenye umoderator
 
Baba wa taifa Mwalimu Julias Kambarage Nyerere ni shujaa wa kukumbukwa daima, amefanya mambo mengi mazuri kwenye taifa lake la Tanzania.

Alikuwa mzalendo wa kweli, mpenda haki, alichukia rusha wazi wazi tena si kwa kuimba tu la asha alifanya kwa matendo lakini baba wa taifa hakuwa Mungu, hakuwa malaika na hajawa mtakatifu bado kwa hiyo alikosea kama mwanadamu.

Na alikiri wazi wazi bila kificho, japo alifanya mengi mazuri kimsingi na yanahitaji kupongezwa lakini alikosea vile vile na kosa kubwa alilofanya kubwa kabisa ni kuuwa mipaka ya Tanganyika, kosa la pili ujamaa na kujitegemea na kosa la tatu ni mfumo wa chama kimoja.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Hauleweki hata hoja zako. Tanganyika mipaka yake inajulikana wazi, sema kuificha Tanganyika ndani ya Tanzania, pili,Ujamaa na KUJITEGEMEA kasome vizuri Azimio la Arusha hasa sura ya PILI Na TATU ukielewa njoo useme wapi alikosea. Tatu,mazingira yale baada ya kupata Uhuru unajua tulikuwaje Tanganyika? Na kwa nini alifanya hivyo. Mwisho naomba kichwa cha habari ubadilishe maana hata yeye alikiri kufanya makosa na akasema chukueni mazuri na mjifunze.
 
Tukumbue mema na mazur yake, mapungufu yawe chachu ya maendeleo kwa kuyafanyia kazi n tusisahau awali ni awali hakuna hawali mbovu
 
Lakini kuna kipindi alijifanya Mungu mtu... alisema atamuona rais wa nne wa Tanzania akafa kabla ya kumuona. Aliwafanya Watanzania wote wajinga ili awatawale.
 
Kwa maana ya mungu wa CCM ni sawa kabisa; mwl.J.K.Nyerere alikuwa mungu tangu enzi za TANU;lakini si Mola wa taifa letu.
 
Baba wa taifa Mwalimu Julias Kambarage Nyerere ni shujaa wa kukumbukwa daima, amefanya mambo mengi mazuri kwenye taifa lake la Tanzania.

Alikuwa mzalendo wa kweli, mpenda haki, alichukia rusha wazi wazi tena si kwa kuimba tu la asha alifanya kwa matendo lakini baba wa taifa hakuwa Mungu, hakuwa malaika na hajawa mtakatifu bado kwa hiyo alikosea kama mwanadamu.

Na alikiri wazi wazi bila kificho, japo alifanya mengi mazuri kimsingi na yanahitaji kupongezwa lakini alikosea vile vile na kosa kubwa alilofanya kubwa kabisa ni kuuwa mipaka ya Tanganyika, kosa la pili ujamaa na kujitegemea na kosa la tatu ni mfumo wa chama kimoja.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.


mmmh; umeona watu wanamuabudu kama Mungu wao?
 
Lakini kuna kipindi alijifanya Mungu mtu... alisema atamuona rais wa nne wa Tanzania akafa kabla ya kumuona. Aliwafanya Watanzania wote wajinga ili awatawale.


Una uhakika alisema hivyo au unaamini - kutokana na mazungumzo ya mitaani kuwa alisema hivyo? kwani hakumuona? Kwani Rais wa nne wa Tanzania ni nani?
 
....Kaongee huu utumbo wako kwa ndondocha wenzako wa Magamba. Kwani kuna hata kiongozi mmoja wa magamba ambae katika utawala wake alifanya tuonekane ''Richest in the World?''

CCM wote vichwa vyenu vibovu, kuanzia nyie misukule wao hadi hao waliowaroga.

Not richest in the world, we are not their yet but Tanzania is richer today than ever before.
 
Not richest in the world, we are not their yet but Tanzania is richer today than ever before.

Kumbuka shilingi inaporomoka kila kukicha, hii ni ishara kuwa uchumi wetu ni mbovu.
 
Hauleweki hata hoja zako. Tanganyika mipaka yake inajulikana wazi, sema kuificha Tanganyika ndani ya Tanzania, pili,Ujamaa na KUJITEGEMEA kasome vizuri Azimio la Arusha hasa sura ya PILI Na TATU ukielewa njoo useme wapi alikosea. Tatu,mazingira yale baada ya kupata Uhuru unajua tulikuwaje Tanganyika? Na kwa nini alifanya hivyo. Mwisho naomba kichwa cha habari ubadilishe maana hata yeye alikiri kufanya makosa na akasema chukueni mazuri na mjifunze.

Kubwabwaja na kuhororoja si sawa na kutenda.
 
Back
Top Bottom