Narudia mara kumi Nyerere sio Mungu

Narudia mara kumi Nyerere sio Mungu

lendila

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2012
Posts
5,805
Reaction score
4,374
Baba wa taifa Mwalimu Julias Kambarage Nyerere ni shujaa wa kukumbukwa daima, amefanya mambo mengi mazuri kwenye taifa lake la Tanzania.

Alikuwa mzalendo wa kweli, mpenda haki, alichukia rusha wazi wazi tena si kwa kuimba tu la asha alifanya kwa matendo lakini baba wa taifa hakuwa Mungu, hakuwa malaika na hajawa mtakatifu bado kwa hiyo alikosea kama mwanadamu.

Na alikiri wazi wazi bila kificho, japo alifanya mengi mazuri kimsingi na yanahitaji kupongezwa lakini alikosea vile vile na kosa kubwa alilofanya kubwa kabisa ni kuuwa mipaka ya Tanganyika, kosa la pili ujamaa na kujitegemea na kosa la tatu ni mfumo wa chama kimoja.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
 
its very true he was not God, and none claim he was so. His policies had vision and goals of achieving the best standard of lives for all. He believed in unity, YES! all right minded people does, thats why he tried to unit Tanganyika and Zanzibar. He believed in self reliance and sharing of national cake equally and fairly, YES, we all want that, and KILIO kikubwa cha upinzani ni hicho, Nchi isiwe tegemezi (na watu wake pia) na tufaidi sote rasilimali za nchi. Single or mult party in his time was not so important, we call it place based politics. YES, when he realiased the need, he accepted it even when the people (through tume ya maoni walikataa).

His policies were right at the time with the people of the time, but there were no people who understood him to translate the policies into practice. He was surrounded with wrong people, and YES he was not GOD to change them, but he tried to control them and that is what he did as human. He is dead now, he has done is part, lets do ours sasa.
 
Ni kweli pamoja na kasoro zake kama binadamu ambaye hajakamilika. Alikuwa na mapenzi makubwa kwa Tanzania na watu wake. Alitoa muda wake wote na akili yake yote ili tu mtanzania awe na maisha bora. Laiti nusu tu ya tunu zake zingetugusa..
 
nyerere alikuwa anakosea kama mtu wa kawaida hakuwa malaika kusema maovu yake ni kuridhisha ubinadamu wake mazuri alifanya mengi na mabaya pia
 
its very true he was not God, and none claim he was so. His policies had vision and goals of achieving the best standard of lives for all. He believed in unity, YES! all right minded people does, thats why he tried to unit Tanganyika and Zanzibar. He believed in self reliance and sharing of national cake equally and fairly, YES, we all want that, and KILIO kikubwa cha upinzani ni hicho, Nchi isiwe tegemezi (na watu wake pia) na tufaidi sote rasilimali za nchi. Single or mult party in his time was not so important, we call it place based politics. YES, when he realiased the need, he accepted it even when the people (through tume ya maoni walikataa).

His policies were right at the time with the people of the time, but there were no people who understood him to translate the policies into practice. He was surrounded with wrong people, and YES he was not GOD to change them, but he tried to control them and that is what he did as human. He is dead now, he has done is part, lets do ours sasa.

You must be kidding.

We were the poorest in the world within 10 Years of his rule.
 
Makosa mengine ni kutuacha bila katiba bora
kutuchagulia MKAPA
Kuruhusu mfumo wa vyama vingi huku CCM ikiendelea kutumia watumishi wa umma kwa manufaa yake. SILIPO, SSIT, ZTWJ n.k
Hata hivyo Nyerere atabakia kuwa kiongozi mwaminifu kuliko rais yoyote EA.
 
UKilinganisha na mapungufu ya marais waliofuata Nyerere ni mtakatifu.Narudia tena ukilinganisha na marais waliofuata Nyerere ni mtakatifu.Una haki ya kukataa au kukubali lakin huna haki ya kupinga ukweli.
 
Baba wa taifa Mwalimu Julias Kambarage Nyerere ni shujaa wa kukumbukwa daima, amefanya mambo mengi mazuri kwenye taifa lake la Tanzania.

Alikuwa mzalendo wa kweli, mpenda haki, alichukia rusha wazi wazi tena si kwa kuimba tu la asha alifanya kwa matendo lakini baba wa taifa hakuwa Mungu, hakuwa malaika na hajawa mtakatifu bado kwa hiyo alikosea kama mwanadamu.

Na alikiri wazi wazi bila kificho, japo alifanya mengi mazuri kimsingi na yanahitaji kupongezwa lakini alikosea vile vile na kosa kubwa alilofanya kubwa kabisa ni kuuwa mipaka ya Tanganyika, kosa la pili ujamaa na kujitegemea na kosa la tatu ni mfumo wa chama kimoja.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Ndio sababu ya kutoswa cdm baada ya sera zenu za utanganyika, umajimbo, na ubinafsi kueleweka! Wananchi wengi bado moyoni ni wajamaa hawapendi sera za ubinasi.
 
its very true he was not God, and none claim he was so. His policies had vision and goals of achieving the best standard of lives for all. He believed in unity, YES! all right minded people does, thats why he tried to unit Tanganyika and Zanzibar. He believed in self reliance and sharing of national cake equally and fairly, YES, we all want that, and KILIO kikubwa cha upinzani ni hicho, Nchi isiwe tegemezi (na watu wake pia) na tufaidi sote rasilimali za nchi. Single or mult party in his time was not so important, we call it place based politics. YES, when he realiased the need, he accepted it even when the people (through tume ya maoni walikataa).

His policies were right at the time with the people of the time, but there were no people who understood him to translate the policies into practice. He was surrounded with wrong people, and YES he was not GOD to change them, but he tried to control them and that is what he did as human. He is dead now, he has done is part, lets do ours sasa.

Duh,kiingereza hiki kibovu na si ajabu Mtanzania mwenzetu huyu ni msomi wa kiwango cha Masters...Mungu aepushe
 
Nina uhakika kuwa watu kama Nyerere wapo ata na kumzidi ila tu nikua jamii ya leo haikubali mitazamo ya namna hiyo.
 
Nyerere aling'atuka tangu mwaka 1985 ukiangalia ni umri wa vijana ambao wengine wapo bungeni,
Kwanini msirudishe mioaka ya Tanganyika(ipo na unajifanya huijui), uchumi wa sasa katika nchi ya Tanzania ni holela nadhani unaufurahia, nakushauri urudishe mambo yote ambayo unaona Mwalimu alichemka.
Nakushauri tu kijana uelewe kuwa nchi za Afrika ilikuwa ni lazima kuamua ni aaina gani ya siasa na uchumi unayoitaka, hata Kenya mabao walikuwa na uchumi wa kibepari walifuta mfumo wa vyma vingi.

Baba wa taifa Mwalimu Julias Kambarage Nyerere ni shujaa wa kukumbukwa daima, amefanya mambo mengi mazuri kwenye taifa lake la Tanzania.

Alikuwa mzalendo wa kweli, mpenda haki, alichukia rusha wazi wazi tena si kwa kuimba tu la asha alifanya kwa matendo lakini baba wa taifa hakuwa Mungu, hakuwa malaika na hajawa mtakatifu bado kwa hiyo alikosea kama mwanadamu.

Na alikiri wazi wazi bila kificho, japo alifanya mengi mazuri kimsingi na yanahitaji kupongezwa lakini alikosea vile vile na kosa kubwa alilofanya kubwa kabisa ni kuuwa mipaka ya Tanganyika, kosa la pili ujamaa na kujitegemea na kosa la tatu ni mfumo wa chama kimoja.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
 
kuna Mimba nyingine kiukweli ni kumuomba sana Mungu aepushie mbali.
 
Back
Top Bottom