Chiwawa umerudi lakini bado una kamasi kichwani..!!
Wewe ngadu ungekuwa na pesa ungesumbua sana humu..! ๐น๐น
Haya lete mitusi yako kama juzi nikuitie mods urudi na id yako ya Kanye..
Nani alisema bwashee?Kawaida tu , ukiwa na mzunguko mdogo wa pesa lazima uwaze kujiona matako kisa uzi wa jamii forum
AiseeView attachment 3652168
๐ซฉ๐ซฉ๐ซฉ๐ค๐ค๐ค๐ค
Hufanyi ligi na mtu yoyote tena, that's a step closer, keep on keeping on!!I knew utakua wise enough kujua my tabia of kujitapa is mine na haina shida yoyote kwa member humu.
Haya mkuu, mimi kwa bahati mbaya sifanyi ligi na mtu yoyote tena.
I'm just being me. Kama kuna mtu anatumia it's their problem
๐น๐น๐น Binti wa zamani mwanakwetu kumbe umemtunuku mbususu huyu kiumbe??
Yeah ila maskini wa pesa na akili huwa wana katabia ka kukuona kila kitu kikiandikwa kimewaponda waoNani alisema bwashee?
Hujui mtu akiwa na pesa, hawezi hata kuandika kitu cha kuwaponda wenzake?
Ila maskini akipata matako hulia mbaya?
๐น๐น๐น Binti wa zamani alijua atamtunzia siriTobaaa! Hata siri huna๐
Subiri aje
Wajinga sana๐๐ hawajui sisi ni manabii nyumbu hawaNaqubali bwashee
Niliweka uzi chit chat kwamba nimeona ng'ombe juu ya bati wadau hawakutaka kunielewa kabisa ๐
Mtasema sana... Maana this time around ni action tu.. Aibu na chuki mtaona nyie๐น๐น๐น Binti wa zamani mwanakwetu kumbe umemtunuku mbususu huyu kiumbe??
Dadeq JF aibu utaona wewe.!!
cocastic kuna mupya huku mmbea mwenzangu..!!
Ana kijiji cha id ana nyingine ya Eugene Krabs hiyo wengi hawaijui..!! ๐น๐นAna ID ya kanye pia? ๐๐
Huyu mbona naanza kuhofia hata ID yangu itakuwa yake sasa
Imefika hatua hadi wanapambanishwa na wachaga , wamatumbi kuna namna hatuna kazi za kufanyaKuna wanapaita Lamadi(Ramadi?), nikajua wa huko ndio chenga, ngoja tuzidi kutafiti mangii
Mimi sio tajiri wala sijivuni kwa lolote bwashee, ni wewe mtazamo wako tuHapana bwashee
Rich people enrich others..
Unacho fanyaga humu mkuu ni kujivunia heshima tuu.
Sema nini, em elezea vizuri hapo kwa binti wa zamani basi ๐น๐นMtasema sana... Maana this time around ni action tu.. Aibu na chuki mtaona nyie
Bwana mdogo wewe kumbe JF huijui vizuri๐๐๐
STAY TUNED WALIKUJA WENZAKO KINA KIDUKU LILO SAIVI WAMEPONA UKICHAA.WEWE UNASEMA NINI BWANA.
UNAMJUAMPWAYUNGUWEWE๐ค.SAIVI AMEPONA SONONA ANALIMA UFUTA HUKO TAMISEMI.KIJANA JF HAIHITAJI MBWEMBWE UTAKULA K.O KAMA ZA POPOMA NA UTAKUWA NA UNDUGU NA BAN KILA MARA!!
I don't give a damnBwana mdogo wewe kumbe JF huijui vizuri๐๐๐
STAY TUNED WALIKUJA WENZAKO KINA KIDUKU LILO SAIVI WAMEPONA UKICHAA.WEWE UNASEMA NINI BWANA.
UNAMJUA MPWAYUNGU WEWE๐ค.SAIVI AMEPONA SONONA ANALIMA UFUTA HUKO TAMISEMI.KIJANA JF HAIHITAJI MBWEMBWE UTAKULA K.O KAMA ZA POPOMA NA UTAKUWA NA UNDUGU NA BAN KILA MARA!!!
๐VAYULENCE๐ฅ๐ฅ๐ฅPEACE IS NEVER AN OPTION!!!
Ana kijiji cha id ana nyingine ya Eugene Krabs hiyo wengi hawaijui..!! ๐น๐น
Tulia hivyohivyo, wewe ndio SI UNIT ya JF kwa mwezi August mpaka October 2026.Kmmk wallah
Kwa hiyo mimi ndo nimekuwa wa mfano? Yani kama past paper sio