Because I can?If you say people don't care why are you engaging with myh post right now..
Huwa tunapenda sana kutafta namna ya kum outshine mtu haswa pale tunapodhani they're greater than usView attachment 3652042
Kukatisha uhai wa kiumbe cha Mungu ni dhambi.Wewe si unafuga ng'ombe kijijini? Kwanini usimchinje
Sasa chief godlove na mleta mada ni Shekhe yuleyule tofauti kanzu tu🤣Elevenn kwa mbwembwe na nyuzi zako za aina hii utapachoka na kupachukia humu mapema sana. Lete hoja ujibiwe kwa hoja au anzisha mijadala watu waijadili. Sio hii misifa unayoiandika humu .
Walikuwemo wakina Chief God love walisanda mapema tu 🤣🤣🤣
Utapachoka na kupaona pachungu humu
Hujaelewa mtoto mzuri? Google ipo kwaajili yakoMmh nini hichi umeandika?
Ndio huyo huyo mrembo fulani hivi.Walikuwemo wakina Chief God love walisanda mapema tu 🤣🤣🤣
Ukiangalia nyenzo za post zangu ni kujiongelea mimi... Kwanini wewe mtu usiyenijua uumie? Is there any word I said that triggered any form of insecurity in you?Elevenn kwa mbwembwe na nyuzi zako za aina hii utapachoka na kupachukia humu mapema sana. Lete hoja ujibiwe kwa hoja au anzisha mijadala watu waijadili. Sio hii misifa unayoiandika humu .
Walikuwemo wakina Chief God love walisanda mapema tu 🤣🤣🤣
Utapachoka na kupaona pachungu humu
Bora yule muda huu angekuwa ashalipia 100k ya uplatinum.Sasa chief godlove na mleta mada ni Shekhe yuleyule tofauti kanzu tu🤣
Daah una madini sana mzala safi sana aisee huwa napenda ku interact na watu vichwa ndio chakula ya ubongo big up sana..Utakuwa una shida sana Kama kweli umeona ww ndio Ulikuwa unawapa watu the upper Hand.
Hii sijui mara ya ngap nakuambia.
Kwanza, Hakuna mtu anakuchukia.
Hakuna mtu anajali kuhusu ww.
Uwepo au usiwepo hakuna utakachongeza au kupunguza JF.
Pili, The people who you think you gave the upper hand to, are actually feeling sorry for you, And they indeed interact so you can see where the problem is.
And if you still cannot see it. Then its NOT their problem. Its Yours.
Tatu, You dont have to prove (especially by words) to anyone, your Value is measured by what you do, what you Say, and how the content you posted inspired people.
And If You deserve it, it will come without asking for it.
Respect is earned not Requested.
Ni mtu mmoja😂Bora yule muda huu angekuwa ashalipia 100k ya uplatinum.
Ila Huyu ana Sifa na hana Hela.
Chief God love wa Kyela au yale majina ya humu yule mnyakyusa wa Kyela alisumbua eti akataka kwenda Bungeni..Elevenn kwa mbwembwe na nyuzi zako za aina hii utapachoka na kupachukia humu mapema sana. Lete hoja ujibiwe kwa hoja au anzisha mijadala watu waijadili. Sio hii misifa unayoiandika humu .
Walikuwemo wakina Chief God love walisanda mapema tu 🤣🤣🤣
Utapachoka na kupaona pachungu humu
Laki tu? Mkuu how can I pay for something I know hainisaidii moja kwa moja?Bora yule muda huu angekuwa ashalipia 100k ya uplatinum.
Ila Huyu ana Sifa na hana Hela.
Aaah wapi. Huyu ni dogo tu mmoja.Ni mtu mmoja😂
Huna bro.Laki tu? Mkuu how can I pay for something I know hainisaidii moja kwa moja?
Mimi siwezi kupay laki kwa kitu ambacho najua naweka hela yangu bure