Narudi nikiwa unstoppable

Narudi nikiwa unstoppable

If you say people don't care why are you engaging with myh post right now..

Huwa tunapenda sana kutafta namna ya kum outshine mtu haswa pale tunapodhani they're greater than us
6cc95a53cd8d9d03b1eb4ba113c7c3b0.jpg
 
Elevenn kwa mbwembwe na nyuzi zako za aina hii utapachoka na kupachukia humu mapema sana. Lete hoja ujibiwe kwa hoja au anzisha mijadala watu waijadili. Sio hii misifa unayoiandika humu .

Walikuwemo wakina Chief God love walisanda mapema tu 🤣🤣🤣

Utapachoka na kupaona pachungu humu
Sasa chief godlove na mleta mada ni Shekhe yuleyule tofauti kanzu tu🤣
 
Elevenn kwa mbwembwe na nyuzi zako za aina hii utapachoka na kupachukia humu mapema sana. Lete hoja ujibiwe kwa hoja au anzisha mijadala watu waijadili. Sio hii misifa unayoiandika humu .

Walikuwemo wakina Chief God love walisanda mapema tu 🤣🤣🤣

Utapachoka na kupaona pachungu humu
Ukiangalia nyenzo za post zangu ni kujiongelea mimi... Kwanini wewe mtu usiyenijua uumie? Is there any word I said that triggered any form of insecurity in you?

All I said was how I think I am.. If you feel pain then it is not my concern..

Mimi ni mimi... Sidhani kama nitachoka kusema kile nataka. Yaani kuwa mimi nichoke kweli? Ningalikuwa na Fake maisha hapo sawa.
 
Utakuwa una shida sana Kama kweli umeona ww ndio Ulikuwa unawapa watu the upper Hand.

Hii sijui mara ya ngap nakuambia.
Kwanza, Hakuna mtu anakuchukia.
Hakuna mtu anajali kuhusu ww.
Uwepo au usiwepo hakuna utakachongeza au kupunguza JF.

Pili, The people who you think you gave the upper hand to, are actually feeling sorry for you, And they indeed interact so you can see where the problem is.
And if you still cannot see it. Then its NOT their problem. Its Yours.

Tatu, You dont have to prove (especially by words) to anyone, your Value is measured by what you do, what you Say, and how the content you posted inspired people.

And If You deserve it, it will come without asking for it.
Respect is earned not Requested.
Daah una madini sana mzala safi sana aisee huwa napenda ku interact na watu vichwa ndio chakula ya ubongo big up sana..
 
Elevenn kwa mbwembwe na nyuzi zako za aina hii utapachoka na kupachukia humu mapema sana. Lete hoja ujibiwe kwa hoja au anzisha mijadala watu waijadili. Sio hii misifa unayoiandika humu .

Walikuwemo wakina Chief God love walisanda mapema tu 🤣🤣🤣

Utapachoka na kupaona pachungu humu
Chief God love wa Kyela au yale majina ya humu yule mnyakyusa wa Kyela alisumbua eti akataka kwenda Bungeni..
 
Laki tu? Mkuu how can I pay for something I know hainisaidii moja kwa moja?

Mimi siwezi kupay laki kwa kitu ambacho najua naweka hela yangu bure
Huna bro.

Pride uliyonayo. Ungekuwa na 100k ungekuwa ushalipia.

Pengine bado Hujui umejiaibisha kwa kias gan kuomba uplatinum bila kuwa na vigezo.
Na ukaambiwa basi lipia. Nayo Hauwezi.

Yaan sifa zote 2 za uplatinum hauna.
Ni aibu bro.

ephen_
Shosti ako atapandisha kisukari sasahivi 😊😊😊
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom