Narudi nikiwa unstoppable.

Narudi nikiwa unstoppable.

In my time off, JF nilijikuta naingia katika kujitathmini kwa kina ili nijue where why y'all hating on me the goat 🐐?

Ila nikaona it's all me who's trying to give y'all the upper hand.

Utakuwa una shida sana Kama kweli umeona ww ndio Ulikuwa unawapa watu the upper Hand.

Hii sijui mara ya ngap nakuambia.
Kwanza, Hakuna mtu anakuchukia.
Hakuna mtu anajali kuhusu ww.
Uwepo au usiwepo hakuna utakachongeza au kupunguza JF.

Pili, The people who you think you gave the upper hand to, are actually feeling sorry for you, And they indeed interact so you can see where the problem is.
And if you still cannot see it. Then its NOT their problem. Its Yours.

Tatu, You dont have to prove (especially by words) to anyone, your Value is measured by what you do, what you Say, and how the content you posted inspired people.

And If You deserve it, it will come without asking for it.
Respect is earned not Requested.
 
Utakuwa una shida sana Kama kweli ndio umeona ww ndio Ulikuwa unawapa watu upper Hand.

Hii sijui mara ya ngap nakuambia.
Kwanza, Hakuna mtu anakuchukia.
Hakuna mtu anajali kuhusu ww.
Uwepo au usiwepo hakuna utakachongeza au kupunguza JF.

Pili, The people who you think you gave the upper hand to, are actually feeling sorry for you, And they indeed interact so you can see where the problem is.
And if you still cannot see it. Then its NOT their problem. Its Yours.

Tatu, You dont have to prove (especially by words) to anyone, your Value is measured by what you do, what you Say, and how the content you posted inspired people.

And If You deserve it, it will come without asking for it.
Respect is earned not Requested.
Why do you think you have any autonomy to tell me about how I think about myself? Kama sio kuumizwa na kuwa na nongwa binafsi...

Infact ingekuwa ni uongo hata usinge kuja na gazeti lako hili..

Mwisho kabisa, my life.. My rules. Hakuna kiumbe kingine chenye autonomy to tell me otherwise
 
A giant looks in the mirror and sees nothing ~Donda West

In my time off, JF nilijikuta naingia katika kujitathmini kwa kina ili nijue where why y'all hating on me the goat 🐐?

Ila nikaona it's all me who's trying to give y'all the upper hand.

Sasa narudi nikiwa makini kabisa kuona ya kuwa I can't trade my worth to Undeserving people.

Ndugu zangu kuna watu ukitaka u elevate, wao kazi yao ni kukutia insecurities doubts and fear. Aina hii ya watu ni wale walokwisha kukata tamaa, ambao wanajua fika ya kuwa wewe ni nani..

Kwa maana hakuna mtu atadeal na kitu anacho jua kakizidi.. Yaani hauwezi kwenda kushindana na timu uliyo izidi kila kitu...

Sasa narudi nikiwa sina drama za kijinga tena...

Itakuwa mimi na machapisho ya kiplatinum mpaka uongozi wa jf unipe badge of honor..

I will never let any demonic entities pull me back, I will always be ten toes to my vision, goals and purpose..

Nilisoma kuhusu Joanah is it true? Aisee....ila Kadri tunavyojua how perishable these physical reality is, ndo itupe motisha ya kupiga hatua na kuishi maisha tu yatakayo.

Elevenn is officially back now.
Tunafurahi kukuona mrembo.

Karibu tena jamvini.
 
Why do you think you have any autonomy to tell me about how I think about myself? Kama sio kuumizwa na kuwa na nongwa binafsi...

Infact ingekuwa ni uongo hata usinge kuja na gazeti lako hili..

Mwisho kabisa, my life.. My rules. Hakuna kiumbe kingine chenye autonomy to tell me otherwise

I dont have any issues with You bro.
Pia Siwez kuumizwa na Fake ID.

Alaf naumizwa kwa lipi hasa ulilonalo bro?.šŸ™„šŸ™„šŸ™„

Yaan niumizwe kwa kuwa ww una Kiherehere na Ushamba alafu mimi sina šŸ˜ŽšŸ˜ŽšŸ˜Ž
 
I dont have any issues with You bro.
Pia Siwez kuumizwa na Fake ID.

Alaf naumizwa kwa lipi hasa ulilonalo bro?.šŸ™„šŸ™„šŸ™„

Yaan niumizwe kwa kuwa ww una Kiherehere na Ushamba alafu mimi sina šŸ˜ŽšŸ˜ŽšŸ˜Ž
Stop showing sympathy just because I called out your shameful behavior..

Reactions na emojis za nini mtoto wa kiume?
 
Stop showing sympathy just because I called out your shameful behavior..

Reactions na emojis za nini mtoto wa kiume?

Kuna kitu kimoja niko na uhakika nacho.
Kuwa Watu watakuchoka soon na wata kuignore.
Maana ni maisha umejiamulia.

Si unaonaga hata wanaotafutaga attention kwenye mitandao ya kijamii, wale ambao hawana content, huwa wanaishiaje? .
Ndio kitakachokutokea.

NB:
Bundle langu la kureply kwenye post zako imebaki sms 2.
Ila imoji za kukucheka ziko Unlimited.
 
Kuna kitu kimoja niko na uhakika nacho.
Kuwa Watu watakuchoka soon na wata kuignore.
Maana ni maisha umejiamulia.

Si unaonaga hata wanaotafutaga attention kwenye mitandao ya kijamii, wale ambao hawana content, huwa wanaishiaje? .
Ndio kitakachokutokea.

NB:
Bundle langu la kureply kwenye post zako imebaki sms 2.
Ila imoji za kukucheka ziko Unlimited.
Acha kutia huruma na magazeti yako..
Fatilia maisha yako
 
Screenshot_20260607-023533~2.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom