Poleni kwa majukumu ya ujenzi wa Taifa wana bodi, mimi ni wakala wa m-pesa, kwa muda mrefu nimekuwa naingia hasara bila kujua inatokana na nini, kwa mfano, nina laki tano kwenye sim na nina lako tano mkononi, nikifanya mzuguko ndani ya wiki moja, najikuta nina laki mbili kwene sim na laki tatu mkononi, so hapo kuna jumla ya laki tano sijui imepoteaje.
Nimebadili laini ya uwakala nikidhani ile laini ya kwanza kuna namna aliyeniuzia anaiba, kadhalika na hii line mpya nimeyonunua mwenyewe bado tatizo lipo.
Msaada tafadhari. Natanguliza shukrani
Sent using
Jamii Forums mobile app
=====