Napoteza hamu ya mahusiano muda mfupi baada ya kuyaanzisha. Je, hii ni hali ya kawaida?

McCollum

JF-Expert Member
Jan 10, 2023
384
679
Habari kwa wanajukwaa, ni matumaini yangu muwazima wa afya. Kwa wenzetu ambao wanapitia changamoto za kiafya nawatakia kupona au kupata ahueni kwa haraka.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, mimi ni kijana wa umri wa kuelekea 30's kwakuwa sasa niko kwenye 20's mwisho huko. Sikujua kwamba hii haikuwa hali ya kawaida ila baada ya muda naona bado inanitatiza, kila ninapoanzisha mahusiano huwa nakuwa na interest ambayo inapotea hata baada ya wiki kuisha. Kuna ile hali najikuta tu nimechoka kutafutana na gf wangu mpya.

After three weeks naweza nikapotezea mazima kama hatukuwa na mahusiano kabisa, siwezi kujilazimisha kutuma meseji au kupiga simu na sababu za msingi nakuwa sina, inakuwa kama akili imepotea mazima kumhusu huyo gf. Ila nakuwa sijamuacha mazima ila interest naye inapotea.
images.jpeg


Commitment yangu kwenye mahusiano haijawahi kuwa strong hata kwa wanawake ambao ninakuwa nimewapenda toka mwanzo tukiachana na wale ambao nakuwa nao kutokana na LUST.

images (1).jpeg


Sijui shida inakuwa ni nini ila naona tatizo limekuwa kubwa maana najikuta tu nime call off mahusiano bila sababu na naishia kuambiwa najitengenezea karma ambayo itanikumba mbele which siogopi kwakuwa siamini kwenye mambo kama hayo.


Any thoughts pals?
 
1)Jilazimishe tu kutuma sms jioangie hata timetible basi japo mambo yaende tu hivyohivyo

2)Ukitafuta sababu ya msingi ndio umcheki mpenzi utakosa kumpigia huyo mpenzi hadi unakufa...hakunaga sababu ya msingi ya kuwasiliana na mpenzi mapenzi Ni randomly convo Cha kuongelea kinapatokana Happ Happ baada ya kupiga simu/text
 
1)Jilazimishe tu kutuma sms jioangie hata timetible basi japo mambo yaende tu hivyohivyo

2)Ukitafuta sababu ya msingi ndio umcheki mpenzi utakosa kumpigia huyo mpenzi hadi unakufa...hakunaga sababu ya msingi ya kuwasiliana na mpenzi mapenzi Ni randomly convo Cha kuongelea kinapatokana Happ Happ baada ya kupiga simu/text
Nitajitahidi kuufuata huu ushauri
 
3)Ukipoteza hamu ya manzi muda fupi wa week au week mbili Huo muda mdogo miyo ku-release fluid za upendo kwa huyo manzi, jaribu kutengeneza strong engagement kwake kwa muda wa miezi mitatu Texting, calling, outing, spending, care nk baada ya miezi mitatu kuwasiliana nae nk itakuwa automatically maana moyo ndio utakusukuma sio wewe tena
 
Habari kwa wanajukwaa, ni matumaini yangu muwazima wa afya. Kwa wenzetu ambao wanapitia changamoto za kiafya nawatakia kupona au kupata ahueni kwa haraka.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, mimi ni kijana wa umri wa kuelekea 30's kwakuwa sasa niko kwenye 20's mwisho huko. Sikujua kwamba hii haikuwa hali ya kawaida ila baada ya muda naona bado inanitatiza, kila ninapoanzisha mahusiano huwa nakuwa na interest ambayo inapotea hata baada ya wiki kuisha. Kuna ile hali najikuta tu nimechoka kutafutana na gf wangu mpya.

After three weeks naweza nikapotezea mazima kama hatukuwa na mahusiano kabisa, siwezi kujilazimisha kutuma meseji au kupiga simu na sababu za msingi nakuwa sina, inakuwa kama akili imepotea mazima kumhusu huyo gf. Ila nakuwa sijamuacha mazima ila interest naye inapotea.
View attachment 2518347

Commitment yangu kwenye mahusiano haijawahi kuwa strong hata kwa wanawake ambao ninakuwa nimewapenda toka mwanzo tukiachana na wale ambao nakuwa nao kutokana na LUST.

View attachment 2518346

Sijui shida inakuwa ni nini ila naona tatizo limekuwa kubwa maana najikuta tu nime call off mahusiano bila sababu na naishia kuambiwa najitengenezea karma ambayo itanikumba mbele which siogopi kwakuwa siamini kwenye mambo kama hayo.


Any thoughts pals?
Kwanza inabidi ukubali we mwenyewe kuwa upo tayari kwa commitment. Bila maamuzi hamna vitendo.
Kisha jikumbushe mara kwa mara kuhusu uamuzi wako.
Jizoeshe kuishi ki commitment.
Fata ushauri wa Sea Beast.
 
Hilo ni pepo tu,wanaume wengi tunalo,mimi binafsi sijawahi kuchakata mwanamke zaidi ya mara tano,huwa namkinai haraka sana na kumpotezea,wengine nikipota mara moja sirudio imetoka hiyo
 
Same to me,,ila mimi wanawake ninaokuwa nao huwa wana-blame sana why nakuwa mr i don' care,,ambacho hawajui ni kuwa siwezagi kujiforce kabisa ku-make communication asee,, hata wewe denti uliyemo humu ukipita hapa elewa nilicho-comment hapa don't feel guility,,nitajitahidi kuikabili hii hali.
 
1)Jilazimishe tu kutuma sms jioangie hata timetible basi japo mambo yaende tu hivyohivyo

2)Ukitafuta sababu ya msingi ndio umcheki mpenzi utakosa kumpigia huyo mpenzi hadi unakufa...hakunaga sababu ya msingi ya kuwasiliana na mpenzi mapenzi Ni randomly convo Cha kuongelea kinapatokana Happ Happ baada ya kupiga simu/text
Kweli kabisa
 
Usije kuwa una jini mahaba ndio mana unajisikia iyo hali embu fatilia utaweza jikuta umri wa kuoa ukajikuta bado kuoa mwisho wa siku uzee ukakunyemelea
 
Nyeto, narudia tena PUNYETO na kuangalia Porn.

Mna Low testosterone kwa sababu ya Nyeto, hizo zingine ni excuses tu mnajipa.

Sishauri kupoteza mda kwa Mwanamke ila kama Mwanaume ku-loose interest ni TATIZO.

Mwanaume unatakiwa ku-Control hio hali ya kuvutiwa na Mwanamke na sio uwe huvutiwi nao.(Yaani Unatakiwa wawe wanakuvutia ila wewe ndio unaji control) na sio uwe unapoteza interest automatically.

Nasisitiza Acheni Nyeto vijana.

Be a Man.
 
Habari kwa wanajukwaa, ni matumaini yangu muwazima wa afya. Kwa wenzetu ambao wanapitia changamoto za kiafya nawatakia kupona au kupata ahueni kwa haraka.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, mimi ni kijana wa umri wa kuelekea 30's kwakuwa sasa niko kwenye 20's mwisho huko. Sikujua kwamba hii haikuwa hali ya kawaida ila baada ya muda naona bado inanitatiza, kila ninapoanzisha mahusiano huwa nakuwa na interest ambayo inapotea hata baada ya wiki kuisha. Kuna ile hali najikuta tu nimechoka kutafutana na gf wangu mpya.

After three weeks naweza nikapotezea mazima kama hatukuwa na mahusiano kabisa, siwezi kujilazimisha kutuma meseji au kupiga simu na sababu za msingi nakuwa sina, inakuwa kama akili imepotea mazima kumhusu huyo gf. Ila nakuwa sijamuacha mazima ila interest naye inapotea.
View attachment 2518347

Commitment yangu kwenye mahusiano haijawahi kuwa strong hata kwa wanawake ambao ninakuwa nimewapenda toka mwanzo tukiachana na wale ambao nakuwa nao kutokana na LUST.

View attachment 2518346

Sijui shida inakuwa ni nini ila naona tatizo limekuwa kubwa maana najikuta tu nime call off mahusiano bila sababu na naishia kuambiwa najitengenezea karma ambayo itanikumba mbele which siogopi kwakuwa siamini kwenye mambo kama hayo.


Any thoughts pals?
Nijibu kwanza hili swali,je,unakinai haraka wanawake tu au na mambo mengine?

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Nyeto, narudia tena PUNYETO na kuangalia Porn.

Mna Low testosterone kwa sababu ya Nyeto, hizo zingine ni excuses tu mnajipa.

Sishauri kupoteza mda kwa Mwanamke ila kama Mwanaume ku-loose interest ni TATIZO.

Mwanaume unatakiwa ku-Control hio hali ya kuvutiwa na Mwanamke na sio uwe huvutiwi nao.(Yaani Unatakiwa wawe wanakuvutia ila wewe ndio unaji control) na sio uwe unapoteza interest automatically.

Nasisitiza Acheni Nyeto vijana.

Be a Man.
Ilo nalo neno na pia uvutaji wa bangi unachangia iyo hali pia

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom