Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,251
Engine ya landrover LMFAO..
Afadhali ungekuwa unanguruma kama engine. Wanyama tena?
Afadhali ungekuwa unanguruma kama engine. Wanyama tena?
Ungekimbiriagha wapi wakati risimba rinakutafunaghaaa (kwa sauti ya Kisukuma)
Dah! Mkuu umenichekesha sana, ile kitu namesaga mwensie.Matatizo kama haya huwapata sana vijana wa machungani hasa mnapojikuta kwenye mahusiano na watoto wa mjini...hebu jaribu kubadili girlfriend,tafuta mtoto mmoja wa kienyeji (wa mfugaji) nenda naye machungani,omba 'ile kitu nammesaga mwenzie' kisha uone kama utatoa tena milio ya kondoo!...
Dah! Mkuu umenichekesha sana, ile kitu namesaga mwensie.
Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
Kwa hiyo Clouds wamemrekodi huyo jamaa...???bora hiyo nasikia kuna jamaa yeye yake ananguruma "Claaaaaaaaaaaaaaaaauz efem!"
hawakupendi hao wanaume mkifika mshindo mna vituko vyenu wengine mpaka unawaonea huruma mwingine analia.
Daaa embu nnyamaze mie mapenzi kuvumuliana jamani sasa kama hawezi kuvumilia vijisekunde vya muungurumo mengine ataweza.