Holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 6,725
- 13,724
Wakuu, sijawahi kupitia unyonge, upweke na wasiwasi kama huu ninaopitia hivi sana. Mpenzi wangu ni mwanachuo katika chuo mkoa X, wanakatazwa kutumia simu, huwa anatumia simu za walimu wake akitaka kuongea na mimi. Sasa ni wiki ya tatu hanitafuti, moyoni naumia sana mwenzie, nampenda, sijaona SMS yake wala call yake for 3rd week, naombeni ushauri, maana ninakoelekea sikujui.