Napitia kipindi kigumu,naomba ushauri na msaada pia

Napitia kipindi kigumu,naomba ushauri na msaada pia

Sina simu ya pili kwa ajiri ya kupigia picha,kama unataka uione hiyo simu niambie ntakuletea popote ulipo hapa dar kwa bei tajwa hapo juu
Pole sana mdgo angu Mungu akutete mimi hapa nilipo sina neno niko kama nilivyo
IMG_20190307_195507.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana ukikosa humu nenda kanisan utachangiwa ukikosa kanisan we nenda direct magogoni eleza shida yako rais wetu ni rais wa watu pesa kitu gani bhana atakusaidia
Usikate tamaa tia maguu ikulu
Yaani home of great thinkers bado tuna house girl wa namna yako?!?!

We unadhani Ikulu ni sokoni au Bar?!?!

Mambo yamekua mengi na Mengi yamekua Mambo
 
Yaani home of great thinkers bado tuna house girl wa namna yako?!?!

We unadhani Ikulu ni sokoni au Bar?!?!

Mambo yamekua mengi na Mengi yamekua Mambo
We umemshauri lipi??
Sijakurupuka wapo Watu waliwah kusaidiwa si lazima umuone mkuu ana Watu wake anaweza kusaidiwa kwa namna moja au nyingine

Afu tuheshimiane kiazi wewe
 
Mi nashauri cheti usiweke rehani Mkuu plz hiyo ndo elimu yako. Naamini Mungu ni mwema atatenda jambo kupitia ombi lako na before the week utakuja na mrejesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom