Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,050
- 221,728
- Thread starter
- #81
Naambiwa kumbe alishang'olewa
Kang'olewa lini? Weka bandiko hapaNaambiwa kumbe alishang'olewa
Mkuu hujui kuwa huyu ndiye alikuwa Msimamizi wa Uchaguzi mdogo wa jimbo la Kinondoni? Na ndiye alikuwa anahusika kukataa kupitisha barua/forms za wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA? Ndiyo ikapelekea yale maandamano ambayo Polisi walitumia nguvu zilizokithiri hadi kufyatua risasi iliymuua mwanafunzi wa NIT, Akwilina AkwelineMkurugenzi anahusika vipi na hizo tuhuma?
Nimeshangaa kuona hiyo quote niliyoijibu, nikashangaa na jibu nililotoa, maana haviendani kabisa, labda ingekuwa ni kweli sijui uhusika wa Mkurugenzi na mamlaka aliyo nayo.Mkuu hujui kuwa huyu ndiye alikuwa Msimamizi wa Uchaguzi mdogo wa jimbo la Kinondoni? Na ndiye alikuwa anahusika kukataa kupitisha barua/forms za wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA? Ndiyo ikapelekea yale maandamano ambayo Polisi walitumia nguvu zilizokithiri hadi kufyatua risasi iliymuua mwanafunzi wa NIT, Akwilina Akweline
Sijawahi kuogopa mamlukiPole ndugu yangu naona umepokelewa na wana ukoo wa Kagurumujuli naona wanakulatua bila ganzi
Wadau wanasema kahamishiwa UbungoKang'olewa lini? Weka bandiko hapa
Pole mzee wa totoz na trakosNimeshangaa kuona hiyo quote niliyoijibu, nikashangaa na jibu nililotoa, maana haviendani kabisa, labda ingekuwa ni kweli sijui uhusika wa Mkurugenzi na mamlaka aliyo nayo.
Sijui ni nini kilitokea nikajibu hivyo, ningekuwa nakunywa ningesema labda nililewa.
Labda nilikua na type huku nikiangalia tako lililokua mbele yangu.
Yupo UbungoNaambiwa kumbe alishang'olewa
Hakutakiwa hata hapo ubungoYupo Ubungo