Napinga Rais Magufuli kuhusishwa na sakata la CAG

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,188
11,221
Watu wenye hoja dhaifu siku zote wanapokosa. Kutetea. Hoja zao dhaifu hutafuta mahali pakujishika nakupata unafuu wakutetea hoja zao mfu.

Ndugu watanzania naomba kuwa kumbusha kama hamkumbuki nendeni mkasikilize hotuba ya Rais na ya Job pale TCRA wakati wakifunguwa mitambo ya kisasa ya mawasiliano. Kama wewe ni mtu unafuwatilia hoja za viongozi Spika alipo pewa nafasi ya kuongea hakusita kusema hili swala la CAG, nakwa mbwembe alisema hii mitambo ni zao la mapendekezo ya bunge alafu leo kuna mtu anaita bunge dhaifu" mwisho wakumnukuu.

Mh Rais alikuwa mzungumzaji wa mwisho na kama mnavyo mjuwa mkuu wetu akipenda speach ya mtu atachukua some of maneno nakuyawekea msisitizo. Amini usi amini Rais wetu alimaliza hotuba yote nahakutaja neno dhaifu.

Hii ni ishara kuwa Rais hakupenda kile Spika alikuwa akikianzisha na akiwa tayari anajuwa nia ya spika na wa ndani wake nikumuingiza ktk mgogoro ambao utaitia doa serikali nzima.

Zipo tetesi siku ya kupokea hotuba bunge liligoma na Rais kwa amani akaipokea report kwa bashasha kimya kimya.

Hii ndio siri kwa wale mnamjuwa ndugai. Je spika alikuwa team Magufuli au team Lowasa? Au team membe?

Spika akijuwa karata yake ktk sakata hili. Amejikuta akiwa peke yake na bunge maana anajuwa alicho nuwia.

Moyo wa mtu ni msitu mnene na ilikuwa wazi ktk hili kwa nini mwimili mmoja umekaa kimya ila muhimili mwingine unafanya kazi? Kwa nini mmoja anarusha mawe mwingine anakaa kimya?

Jambo lingine la hatari sana watu wengi wanaliogopa ni ile dhana ya udini ambapo inaonekana kama Prof Assad watu wanavita naye ila siri ipo ktk udini na ukitaka kuona hili angalia kamati ya maamuzi angalia spika na naibu wake, angalia support kubwa ipo nyuma ya Prof Assad nadhani kama wewe ndio Rais huwez kurupuka kufanya maamuzi maana hili sakata litajeuka kuwa sakata la udini. Why? Angalia taasisi nyeti zote ukiacha jaji mkuu,makamo wa rais na waziri mkuu na CAG. Haya yote ni siri ila nina imani muda utajibu haya.

Rais anajuwa dhahama ya kumgusa CAG na kiukweli kabisa CAG hatoiacha serikali salama maana sasa ndio itakuwa wamemwaga mafuta kwenye moto wa kuni hivyo Rais kwa utashi wake hawezi jichanganya ktk hili.
 
Watu wenye hoja dhaifu siku zote wanapokosa. Kutetea. Hoja zao dhaifu hutafuta mahali pakujishika nakupata unafuu wakutetea hoja zao mfu.

Ndugu watanzania naomba kuwa kumbusha kama hamkumbuki nendeni mkasikilize hotuba ya Rais na ya Job pale TCRA wakati wakifunguwa mitambo ya kisasa ya mawasiliano. Kama wewe ni mtu unafuwatilia hoja za viongozi Spika alipo pewa nafasi ya kuongea hakusita kusema hili swala la CAG, nakwa mbwembe alisema hii mitambo ni zao la mapendekezo ya bunge alafu leo kuna mtu anaita bunge dhaifu" mwisho wakumnukuu.

Mh Rais alikuwa mzungumzaji wa mwisho na kama mnavyo mjuwa mkuu wetu akipenda speach ya mtu atachukua some of maneno nakuyawekea msisitizo. Amini usi amini Rais wetu alimaliza hotuba yote nahakutaja neno dhaifu.

Hii ni ishara kuwa Rais hakupenda kile Spika alikuwa akikianzisha na akiwa tayari anajuwa nia ya spika na wa ndani wake nikumuingiza ktk mgogoro ambao utaitia doa serikali nzima.

Zipo tetesi siku ya kupokea hotuba bunge liligoma na Rais kwa amani akaipokea report kwa bashasha kimya kimya.

Hii ndio siri kwa wale mnamjuwa ndugai. Je spika alikuwa team Magufuli au team Lowasa? Au team membe?

Spika akijuwa karata yake ktk sakata hili. Amejikuta akiwa peke yake na bunge maana anajuwa alicho nuwia.

Moyo wa mtu ni msitu mnene na ilikuwa wazi ktk hili kwa nini mwimili mmoja umekaa kimya ila muhimili mwingine unafanya kazi? Kwa nini mmoja anarusha mawe mwingine anakaa kimya?

Jambo lingine la hatari sana watu wengi wanaliogopa ni ile dhana ya udini ambapo inaonekana kama Prof Assad watu wanavita naye ila siri ipo ktk udini na ukitaka kuona hili angalia kamati ya maamuzi angalia spika na naibu wake, angalia support kubwa ipo nyuma ya Prof Assad nadhani kama wewe ndio Rais huwez kurupuka kufanya maamuzi maana hili sakata litajeuka kuwa sakata la udini. Why? Angalia taasisi nyeti zote ukiacha jaji mkuu,makamo wa rais na waziri mkuu na CAG. Haya yote ni siri ila nina imani muda utajibu haya.

Rais anajuwa dhahama ya kumgusa CAG na kiukweli kabisa CAG hatoiacha serikali salama maana sasa ndio itakuwa wamemwaga mafuta kwenye moto wa kuni hivyo Rais kwa utashi wake hawezi jichanganya ktk hili.
Basi muhusishe na ndugai tu hiyo inatosha
 
Watu wenye hoja dhaifu siku zote wanapokosa. Kutetea. Hoja zao dhaifu hutafuta mahali pakujishika nakupata unafuu wakutetea hoja zao mfu.

Ndugu watanzania naomba kuwa kumbusha kama hamkumbuki nendeni mkasikilize hotuba ya Rais na ya Job pale TCRA wakati wakifunguwa mitambo ya kisasa ya mawasiliano. Kama wewe ni mtu unafuwatilia hoja za viongozi Spika alipo pewa nafasi ya kuongea hakusita kusema hili swala la CAG, nakwa mbwembe alisema hii mitambo ni zao la mapendekezo ya bunge alafu leo kuna mtu anaita bunge dhaifu" mwisho wakumnukuu.

Mh Rais alikuwa mzungumzaji wa mwisho na kama mnavyo mjuwa mkuu wetu akipenda speach ya mtu atachukua some of maneno nakuyawekea msisitizo. Amini usi amini Rais wetu alimaliza hotuba yote nahakutaja neno dhaifu.

Hii ni ishara kuwa Rais hakupenda kile Spika alikuwa akikianzisha na akiwa tayari anajuwa nia ya spika na wa ndani wake nikumuingiza ktk mgogoro ambao utaitia doa serikali nzima.

Zipo tetesi siku ya kupokea hotuba bunge liligoma na Rais kwa amani akaipokea report kwa bashasha kimya kimya.

Hii ndio siri kwa wale mnamjuwa ndugai. Je spika alikuwa team Magufuli au team Lowasa? Au team membe?

Spika akijuwa karata yake ktk sakata hili. Amejikuta akiwa peke yake na bunge maana anajuwa alicho nuwia.

Moyo wa mtu ni msitu mnene na ilikuwa wazi ktk hili kwa nini mwimili mmoja umekaa kimya ila muhimili mwingine unafanya kazi? Kwa nini mmoja anarusha mawe mwingine anakaa kimya?

Jambo lingine la hatari sana watu wengi wanaliogopa ni ile dhana ya udini ambapo inaonekana kama Prof Assad watu wanavita naye ila siri ipo ktk udini na ukitaka kuona hili angalia kamati ya maamuzi angalia spika na naibu wake, angalia support kubwa ipo nyuma ya Prof Assad nadhani kama wewe ndio Rais huwez kurupuka kufanya maamuzi maana hili sakata litajeuka kuwa sakata la udini. Why? Angalia taasisi nyeti zote ukiacha jaji mkuu,makamo wa rais na waziri mkuu na CAG. Haya yote ni siri ila nina imani muda utajibu haya.

Rais anajuwa dhahama ya kumgusa CAG na kiukweli kabisa CAG hatoiacha serikali salama maana sasa ndio itakuwa wamemwaga mafuta kwenye moto wa kuni hivyo Rais kwa utashi wake hawezi jichanganya ktk hili.
kama anajua dhamana ya CAG mbona hajafanya sherehe ya kupokea ripoti ya mkubwa MH. ASSAD kama kawaida yake tena kwa kuonyesha LIVE kupitia ile tv yetu ambayo inashindwa kuonyesha bunge live safari hii kaipokea kimya ili tujue hajapelekewa ripoti ya matumizi ya pesa zetu maana humo kwenye tipoti kuna mambo ya 1.5 t mpaka kufikia 2.4t HEWA
jifanye unajikuna hivii.. kama hujaisoma vileee🖐🖐

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wenye hoja dhaifu siku zote wanapokosa. Kutetea. Hoja zao dhaifu hutafuta mahali pakujishika nakupata unafuu wakutetea hoja zao mfu.

Ndugu watanzania naomba kuwa kumbusha kama hamkumbuki nendeni mkasikilize hotuba ya Rais na ya Job pale TCRA wakati wakifunguwa mitambo ya kisasa ya mawasiliano. Kama wewe ni mtu unafuwatilia hoja za viongozi Spika alipo pewa nafasi ya kuongea hakusita kusema hili swala la CAG, nakwa mbwembe alisema hii mitambo ni zao la mapendekezo ya bunge alafu leo kuna mtu anaita bunge dhaifu" mwisho wakumnukuu.

Mh Rais alikuwa mzungumzaji wa mwisho na kama mnavyo mjuwa mkuu wetu akipenda speach ya mtu atachukua some of maneno nakuyawekea msisitizo. Amini usi amini Rais wetu alimaliza hotuba yote nahakutaja neno dhaifu.

Hii ni ishara kuwa Rais hakupenda kile Spika alikuwa akikianzisha na akiwa tayari anajuwa nia ya spika na wa ndani wake nikumuingiza ktk mgogoro ambao utaitia doa serikali nzima.

Zipo tetesi siku ya kupokea hotuba bunge liligoma na Rais kwa amani akaipokea report kwa bashasha kimya kimya.

Hii ndio siri kwa wale mnamjuwa ndugai. Je spika alikuwa team Magufuli au team Lowasa? Au team membe?

Spika akijuwa karata yake ktk sakata hili. Amejikuta akiwa peke yake na bunge maana anajuwa alicho nuwia.

Moyo wa mtu ni msitu mnene na ilikuwa wazi ktk hili kwa nini mwimili mmoja umekaa kimya ila muhimili mwingine unafanya kazi? Kwa nini mmoja anarusha mawe mwingine anakaa kimya?

Jambo lingine la hatari sana watu wengi wanaliogopa ni ile dhana ya udini ambapo inaonekana kama Prof Assad watu wanavita naye ila siri ipo ktk udini na ukitaka kuona hili angalia kamati ya maamuzi angalia spika na naibu wake, angalia support kubwa ipo nyuma ya Prof Assad nadhani kama wewe ndio Rais huwez kurupuka kufanya maamuzi maana hili sakata litajeuka kuwa sakata la udini. Why? Angalia taasisi nyeti zote ukiacha jaji mkuu,makamo wa rais na waziri mkuu na CAG. Haya yote ni siri ila nina imani muda utajibu haya.

Rais anajuwa dhahama ya kumgusa CAG na kiukweli kabisa CAG hatoiacha serikali salama maana sasa ndio itakuwa wamemwaga mafuta kwenye moto wa kuni hivyo Rais kwa utashi wake hawezi jichanganya ktk hili.
Inatuhusu nini????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wenye hoja dhaifu siku zote wanapokosa. Kutetea. Hoja zao dhaifu hutafuta mahali pakujishika nakupata unafuu wakutetea hoja zao mfu.

Ndugu watanzania naomba kuwa kumbusha kama hamkumbuki nendeni mkasikilize hotuba ya Rais na ya Job pale TCRA wakati wakifunguwa mitambo ya kisasa ya mawasiliano. Kama wewe ni mtu unafuwatilia hoja za viongozi Spika alipo pewa nafasi ya kuongea hakusita kusema hili swala la CAG, nakwa mbwembe alisema hii mitambo ni zao la mapendekezo ya bunge alafu leo kuna mtu anaita bunge dhaifu" mwisho wakumnukuu.

Mh Rais alikuwa mzungumzaji wa mwisho na kama mnavyo mjuwa mkuu wetu akipenda speach ya mtu atachukua some of maneno nakuyawekea msisitizo. Amini usi amini Rais wetu alimaliza hotuba yote nahakutaja neno dhaifu.

Hii ni ishara kuwa Rais hakupenda kile Spika alikuwa akikianzisha na akiwa tayari anajuwa nia ya spika na wa ndani wake nikumuingiza ktk mgogoro ambao utaitia doa serikali nzima.

Zipo tetesi siku ya kupokea hotuba bunge liligoma na Rais kwa amani akaipokea report kwa bashasha kimya kimya.

Hii ndio siri kwa wale mnamjuwa ndugai. Je spika alikuwa team Magufuli au team Lowasa? Au team membe?

Spika akijuwa karata yake ktk sakata hili. Amejikuta akiwa peke yake na bunge maana anajuwa alicho nuwia.

Moyo wa mtu ni msitu mnene na ilikuwa wazi ktk hili kwa nini mwimili mmoja umekaa kimya ila muhimili mwingine unafanya kazi? Kwa nini mmoja anarusha mawe mwingine anakaa kimya?

Jambo lingine la hatari sana watu wengi wanaliogopa ni ile dhana ya udini ambapo inaonekana kama Prof Assad watu wanavita naye ila siri ipo ktk udini na ukitaka kuona hili angalia kamati ya maamuzi angalia spika na naibu wake, angalia support kubwa ipo nyuma ya Prof Assad nadhani kama wewe ndio Rais huwez kurupuka kufanya maamuzi maana hili sakata litajeuka kuwa sakata la udini. Why? Angalia taasisi nyeti zote ukiacha jaji mkuu,makamo wa rais na waziri mkuu na CAG. Haya yote ni siri ila nina imani muda utajibu haya.

Rais anajuwa dhahama ya kumgusa CAG na kiukweli kabisa CAG hatoiacha serikali salama maana sasa ndio itakuwa wamemwaga mafuta kwenye moto wa kuni hivyo Rais kwa utashi wake hawezi jichanganya ktk hili.
afu leo vipi ndio unaingia shift au unamalizia kiporo ukapokee buku7

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wenye hoja dhaifu siku zote wanapokosa. Kutetea. Hoja zao dhaifu hutafuta mahali pakujishika nakupata unafuu wakutetea hoja zao mfu.

Ndugu watanzania naomba kuwa kumbusha kama hamkumbuki nendeni mkasikilize hotuba ya Rais na ya Job pale TCRA wakati wakifunguwa mitambo ya kisasa ya mawasiliano. Kama wewe ni mtu unafuwatilia hoja za viongozi Spika alipo pewa nafasi ya kuongea hakusita kusema hili swala la CAG, nakwa mbwembe alisema hii mitambo ni zao la mapendekezo ya bunge alafu leo kuna mtu anaita bunge dhaifu" mwisho wakumnukuu.

Mh Rais alikuwa mzungumzaji wa mwisho na kama mnavyo mjuwa mkuu wetu akipenda speach ya mtu atachukua some of maneno nakuyawekea msisitizo. Amini usi amini Rais wetu alimaliza hotuba yote nahakutaja neno dhaifu.

Hii ni ishara kuwa Rais hakupenda kile Spika alikuwa akikianzisha na akiwa tayari anajuwa nia ya spika na wa ndani wake nikumuingiza ktk mgogoro ambao utaitia doa serikali nzima.

Zipo tetesi siku ya kupokea hotuba bunge liligoma na Rais kwa amani akaipokea report kwa bashasha kimya kimya.

Hii ndio siri kwa wale mnamjuwa ndugai. Je spika alikuwa team Magufuli au team Lowasa? Au team membe?

Spika akijuwa karata yake ktk sakata hili. Amejikuta akiwa peke yake na bunge maana anajuwa alicho nuwia.

Moyo wa mtu ni msitu mnene na ilikuwa wazi ktk hili kwa nini mwimili mmoja umekaa kimya ila muhimili mwingine unafanya kazi? Kwa nini mmoja anarusha mawe mwingine anakaa kimya?

Jambo lingine la hatari sana watu wengi wanaliogopa ni ile dhana ya udini ambapo inaonekana kama Prof Assad watu wanavita naye ila siri ipo ktk udini na ukitaka kuona hili angalia kamati ya maamuzi angalia spika na naibu wake, angalia support kubwa ipo nyuma ya Prof Assad nadhani kama wewe ndio Rais huwez kurupuka kufanya maamuzi maana hili sakata litajeuka kuwa sakata la udini. Why? Angalia taasisi nyeti zote ukiacha jaji mkuu,makamo wa rais na waziri mkuu na CAG. Haya yote ni siri ila nina imani muda utajibu haya.

Rais anajuwa dhahama ya kumgusa CAG na kiukweli kabisa CAG hatoiacha serikali salama maana sasa ndio itakuwa wamemwaga mafuta kwenye moto wa kuni hivyo Rais kwa utashi wake hawezi jichanganya ktk hili.
Unalala unaamka asubuhi kuja kuandika huu ujinga! Maybe u are right uwezo wako wa kufikri ni mdogo, sounds like you have Diarrhea of the brain and constipation of the ideas
 
Sakata la CAG Na Bunge kuna watu kwa roho mbaya zao na uchonganishi wanamhusisha Rais Na Chama Cha Mapinduzi
 
Watu wenye hoja dhaifu siku zote wanapokosa. Kutetea. Hoja zao dhaifu hutafuta mahali pakujishika nakupata unafuu wakutetea hoja zao mfu.

Ndugu watanzania naomba kuwa kumbusha kama hamkumbuki nendeni mkasikilize hotuba ya Rais na ya Job pale TCRA wakati wakifunguwa mitambo ya kisasa ya mawasiliano. Kama wewe ni mtu unafuwatilia hoja za viongozi Spika alipo pewa nafasi ya kuongea hakusita kusema hili swala la CAG, nakwa mbwembe alisema hii mitambo ni zao la mapendekezo ya bunge alafu leo kuna mtu anaita bunge dhaifu" mwisho wakumnukuu.

Mh Rais alikuwa mzungumzaji wa mwisho na kama mnavyo mjuwa mkuu wetu akipenda speach ya mtu atachukua some of maneno nakuyawekea msisitizo. Amini usi amini Rais wetu alimaliza hotuba yote nahakutaja neno dhaifu.

Hii ni ishara kuwa Rais hakupenda kile Spika alikuwa akikianzisha na akiwa tayari anajuwa nia ya spika na wa ndani wake nikumuingiza ktk mgogoro ambao utaitia doa serikali nzima.

Zipo tetesi siku ya kupokea hotuba bunge liligoma na Rais kwa amani akaipokea report kwa bashasha kimya kimya.

Hii ndio siri kwa wale mnamjuwa ndugai. Je spika alikuwa team Magufuli au team Lowasa? Au team membe?

Spika akijuwa karata yake ktk sakata hili. Amejikuta akiwa peke yake na bunge maana anajuwa alicho nuwia.

Moyo wa mtu ni msitu mnene na ilikuwa wazi ktk hili kwa nini mwimili mmoja umekaa kimya ila muhimili mwingine unafanya kazi? Kwa nini mmoja anarusha mawe mwingine anakaa kimya?

Jambo lingine la hatari sana watu wengi wanaliogopa ni ile dhana ya udini ambapo inaonekana kama Prof Assad watu wanavita naye ila siri ipo ktk udini na ukitaka kuona hili angalia kamati ya maamuzi angalia spika na naibu wake, angalia support kubwa ipo nyuma ya Prof Assad nadhani kama wewe ndio Rais huwez kurupuka kufanya maamuzi maana hili sakata litajeuka kuwa sakata la udini. Why? Angalia taasisi nyeti zote ukiacha jaji mkuu,makamo wa rais na waziri mkuu na CAG. Haya yote ni siri ila nina imani muda utajibu haya.

Rais anajuwa dhahama ya kumgusa CAG na kiukweli kabisa CAG hatoiacha serikali salama maana sasa ndio itakuwa wamemwaga mafuta kwenye moto wa kuni hivyo Rais kwa utashi wake hawezi jichanganya ktk hili.
Wewe si unaamini ktk kuondoa uhai wa yeyote anaye tofautiana na rais/serekali, mbaini na umuuwe ili roho yako ya kumwaga damu itulie, ....eti sabahu za kidini! hopeless kabisa!
 
Kama hajahusika atasema tu one day, jamaa si wa kuweka donge rohoni....kama lile la moo salaa wa simba, sorry livapuli.
 
Sakata la CAG Na Bunge kuna watu kwa roho mbaya zao na uchonganishi wanamhusisha Rais Na Chama Cha Mapinduzi
Raisi alipokea riporti kimya kimya ambayo siyo kawaida yake. Jiulize ni kwa nini. Katiba inampa siku saba aifikishe bungeni. Zimepita ngapi leo?
 
Watu wenye hoja dhaifu siku zote wanapokosa. Kutetea. Hoja zao dhaifu hutafuta mahali pakujishika nakupata unafuu wakutetea hoja zao mfu.

Ndugu watanzania naomba kuwa kumbusha kama hamkumbuki nendeni mkasikilize hotuba ya Rais na ya Job pale TCRA wakati wakifunguwa mitambo ya kisasa ya mawasiliano. Kama wewe ni mtu unafuwatilia hoja za viongozi Spika alipo pewa nafasi ya kuongea hakusita kusema hili swala la CAG, nakwa mbwembe alisema hii mitambo ni zao la mapendekezo ya bunge alafu leo kuna mtu anaita bunge dhaifu" mwisho wakumnukuu.

Mh Rais alikuwa mzungumzaji wa mwisho na kama mnavyo mjuwa mkuu wetu akipenda speach ya mtu atachukua some of maneno nakuyawekea msisitizo. Amini usi amini Rais wetu alimaliza hotuba yote nahakutaja neno dhaifu.

Hii ni ishara kuwa Rais hakupenda kile Spika alikuwa akikianzisha na akiwa tayari anajuwa nia ya spika na wa ndani wake nikumuingiza ktk mgogoro ambao utaitia doa serikali nzima.

Zipo tetesi siku ya kupokea hotuba bunge liligoma na Rais kwa amani akaipokea report kwa bashasha kimya kimya.

Hii ndio siri kwa wale mnamjuwa ndugai. Je spika alikuwa team Magufuli au team Lowasa? Au team membe?

Spika akijuwa karata yake ktk sakata hili. Amejikuta akiwa peke yake na bunge maana anajuwa alicho nuwia.

Moyo wa mtu ni msitu mnene na ilikuwa wazi ktk hili kwa nini mwimili mmoja umekaa kimya ila muhimili mwingine unafanya kazi? Kwa nini mmoja anarusha mawe mwingine anakaa kimya?

Jambo lingine la hatari sana watu wengi wanaliogopa ni ile dhana ya udini ambapo inaonekana kama Prof Assad watu wanavita naye ila siri ipo ktk udini na ukitaka kuona hili angalia kamati ya maamuzi angalia spika na naibu wake, angalia support kubwa ipo nyuma ya Prof Assad nadhani kama wewe ndio Rais huwez kurupuka kufanya maamuzi maana hili sakata litajeuka kuwa sakata la udini. Why? Angalia taasisi nyeti zote ukiacha jaji mkuu,makamo wa rais na waziri mkuu na CAG. Haya yote ni siri ila nina imani muda utajibu haya.

Rais anajuwa dhahama ya kumgusa CAG na kiukweli kabisa CAG hatoiacha serikali salama maana sasa ndio itakuwa wamemwaga mafuta kwenye moto wa kuni hivyo Rais kwa utashi wake hawezi jichanganya ktk hili.
Serikali haina dini,Ila watu wake wana dini,ngoja tuone nini kinajiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom