Hiyo bandari hata wakupe utaifanyia nini?
Bandari imekuwepo toka uhuru tija yake hamna
Ni kuiba tu
Mama ni Rais wa wote acha akafurahi na makolo nae ni wake hata kama ni mbumbumbu
Acha ujinga Kaka ,acha ujingaa mm inaniuma san hi bandari kwenda kwa hao wendawazimu
Sent using
Jamii Forums mobile app