Miji mingi itakuwa hususani morogoro na miji mingi iliyopo njiani kuelekea Dodoma .Kuna miji kama Manyoni kukua na kupanuka kutokana na kuwa karibu na mji mkuu.Biashara zitaongezeka.Hii ni faida.
Miji mingi itakuwa hususani morogoro na miji mingi iliyopo njiani kuelekea Dodoma .Kuna miji kama Manyoni kukua na kupanuka kutokana na kuwa karibu na mji mkuu.Biashara zitaongezeka.Hii ni faida.
Rwanda, Uganda , Zambia , Malawi nk hawana Bahari na maendeleo yapo .Hakuna Bandari? hivi nchi zote duniani zimepakana na bahari?
Serikali ikihamia zitajengwa tu cement na vifaa vya ujenzi vipo Kwa wingi tu.Dodoma hakuna sehemuu nyingi za starehe kama dar
Sio huyu tu bro kuna watu wengi sana wana fikra kama za huyu na hii ni kwasababu kila kizur kinaanzia Dar, hebu kwa mfano niambie sababu za kujenga viwanja viwili vikubwa na vizur eneo moja, shamba la bb ingeboreshwa vzur na ule wa Wachina ukajengwa Dom tungeweza host hata michuano ya kimataifa maana tungekuwa na kiwanja kizur Dar, Mwanza, Dom na Arusha nacho wangekiboresha hayo ndio maendeleoDar imewahi kua capital city lini mkuu?
Siku hz hupiti Manyoni mjini hyo road mpya imepita pembeni ya mji ila ndo hvyo wanahitaj vitu vya kubust maendeleo kama hili la kuhamia DomKamji kabaya .nilipita siku moja nikienda tabora.sijapapenda kabisa.
Rwanda, Uganda , Zambia , Malawi nk hawana Bahari na maendeleo yapo .
Ongezea na Cairo hakuna bahar ila haitakuja hii Dar yetu na bahar yake iifikie na ndio mji mkuu wa MisriKule Darban South Africa na Mombasa Kenya kuna Bahari kuna Bahari na serikali hawapo huko na Johannesburg na Nairob ni majiji makubwa hayapo karibu na Bahari .
Ongezea na Cairo hakuna bahar ila haitakuja hii Dar yetu na bahar yake iifikie na ndio mji mkuu wa Misri
Yaani tuache mabasi ya mwendo kasi hivi hivi, inauma sana
Huyu mleta mada bado kinda sana kwenye historia ya dunia na miji mijuu yake..Wewe hamna kitu kabisa...ulichoandika Pumba tupu aisee...think beyond the reality
Mheshimiwa acha hoja za kitoto. Kuhamishia makao makuu dodoma ni muhimu. Angalia Nigeria walihamisha toka Lagos kwenda Abuja lkn hiyo haikuondoa hadhi ya Lagos kuwa jiji kubwa la kibiashara kuliko yote. Tumwache Rais atimize dhamira siyo tunapinga kila kitu. Wafanyakazi wasiotaka kwenda Dom wanahaki ya kuacha kama hawapendiInasikitisha kwamba serikali bado ina ndoto za kufanya Dodoma iwe mji mkuu wa Tanzania kiutawala. Kusudi Dodoma iwe makao makuu inabidi serikali itumie hela nyingi kujenga majumba ya wizara mbalimbali, nyumba za watendaji, miundombinu n.k. Hiyo yote itagharimu hela nyingi ili kufanikisha azma ya kuhamia Dodoma.
Lakini kwa nini makao makuu ya serikali yahamie Dodoma? Kwani huko kuhamia kutaongeza ufanisi wa utendaji kazi serikalini? Si rahisi. Ukweli ni kwamba serikali itaongeza gharma za kujiendesha na kuongeza ufisadi kwa kiwango kikubwa tu.
Hili zoezi la kuhamia Dodoma lilianzishwa mwaka 1973, na mpaka leo ni wizara moja tu (TAMISEMI) ndiyo ipo Dodoma. Na hata hivyo watendaji wake wa juu muda mwingi wapo Dar es Salaam wakihudhuria vikao mbalimbali, wakiongezea serikali gharama - nauli, posho, mafuta ya magari, n.k..
Kwa sabau serikali tayari imeisha poteza pesa katika huu mradi wa kuhamia ni vema iachane nao, kusudi iokoe pesa zingine ambazo zitafanya shuguli zingine za kimaendeleo, k.m. ujenzi wa barabara, zahati, mashule, nyumba za walimu, n.k. Watanzania tuachane na tabia za kutumia au kuishi kupita uwezo wetu. Dhana kwamba Dodoma ikiwa katikati ya nchi huduma na maendeleo vitapatikana kwa urahisi na bei nafuu haina punje ya ukweli wowote.
Nchi nyingi tu duniani miji yao mikuu ya kiutawala au kiuchumi haiko katikati ya nchi hizo. Mifano michache itatosha kuonyesha upotofu wa dhana hii ya kuhamia Dodoma: Washington na New York ya Marekani, Moscow ya Urusi, Beijing Uchina, n.k. Tuachane na tabia ya kuteng'eneza ulaji kwa mafisadi.
Kuhamishia makao makuu Dodoma ni dhambi. Ni dhambi kwa sababu watanzania wengi wanapoteza haki zao za kupata huduma stahili toka serikalini, na wanaendelea kuteseka huku wachache wakiendelea kutafuna hela za walipakodi kwa visingizio vya kuhamia Dodoma.
Watanzania wote tupendao nchi yetu tukatae huu ufujaji wa pesa zetu.