Napinga Makao Makuu ya nchi kuhamia Dodoma

Napinga Makao Makuu ya nchi kuhamia Dodoma

Haujasoma comment yake niliyojibu ndiyo maana unadhani sijajibu hoja yake. yeye amesema NIACHE UTOTO, wewe unaona hiyo ni kauli sawa? Ina maana yeye ameniita mtoto, which means yeye ndiyo mkubwa/mzee (na si vinginevyo kama unavyosema wewe)
Mkuu, nadhani sikusoma comment yeke, japo haikuwa na ulazima wewe kumjibu the same way..
....shukrani mkuu!!
 
Hv aliyewaambia makao makuu ya Tanzania ni Dar nani? Unachotakiwa kusema ni serikali ihame toka mji wa kibiashara kwenda mji wa kiserikali i. e mji mkuu
 
Mbona Kenya haikufanya Mombasa kuwa capital city? Nchi haitakiwi kuendelea upande mmoja so nahisi waliopita walichelewa tuu

nairobi ilitangulia kabla ya mombasa! the settlers did it as they did to dar!
 
Mh. Rais wa jamhuri ya Muungano wa TZ amesema atafanya jitihada makao makuu ya nchi yahamie Dodoma. mimi kwa hili nakataa kwa sababu zifuatazo!

1. Dar imeshajiimarisha na kujijenga vizuri kama makao makuu ya nchi, ina hadhi ya kuwa CAPITAL CITY

2. Kuhamia Dom kutasababisha tuyumbe kiuchumi kwani pesa nyingi zitatumika kujenga majengo ya ofic za umma na miundombinu kwa ujumla.

3. Hamna uwanja wa ndege wa kimataifa wala bandari kama Dar.

4. Gharama za maisha na huduma zitakuwa juu sn. mizigo mingi ya Dom itashukia kwanza Dar kisha ndo isafirishwe. kumbuka Dom itakuwa na watu wengi.

5. Hivi Dodoma kuna nini hata tukung'ang'anie?
Kwenye Namba 2 hapana [emoji39][emoji39]
 
Dodoma kuko vizuri tu..Baadhi ya ofisi za serikali zipo tayari. Dodoma inakua kwa kasi sana,imepangika vizuri. Serikali kuendelea kubaki Dar ni tatizo,foleni kila siku zinaongezeka kwa sababu watu wengi wapo huko. Serikaki ikihamia Dom ni kweli mwanzoni lazima gharama ziwepo lakini baada ya kuhamia serikali itajiendesha kwa gharama ndogo. Dar inatakiwa ibakie kuwa ni mji wa kibiashara tu. Najua kuna wanaopinga kwa sababu wamezoea kuishi Dar mabadiliko kama haya lazima kuna waty wataumia. Magufuli akikamilisha hili lakuhamisha serikali nitamsifu sana.

hahaha!! kati ya serikali na sekta binafsi, nani mwajiri mkubwa dar?
 
1. kama Dar kumeimarika kiuchumi inamaana kila kitu kiwepo Dar?... je hauoni madhara msongamano wa vitu dar, madhara kuanzia kwenye afya, uchumi n.k

2. Nakubaliana na sababu yako ya Gharama

3. Kufanya Dodoma makao makuu kutaendeleza sio Dodoma tuu bali kupeleka maendeleo na mikoa mingine ya karibu kama singida na Tabora

3. Dodoma ni centre ya Tanzania.. hivyo kuna Geographical advantage ya serikali kuweka makao makui pale kushinda Dar..
Haoni kuwa wakifanya hvyo soon Dodoma inakuwa city? au mnataka maendeleo yawe huku pwani tu? nawaambia govt ikihamia Dom mikoa kama Singda, Tabora, Iringa, Moro na Manyara faster itaendelea
 
magu atahamia Dom soon. amechoshwa na milele ya wapiga debe was dar
 
Dodoma kuko vizuri tu..Baadhi ya ofisi za serikali zipo tayari. Dodoma inakua kwa kasi sana,imepangika vizuri. Serikali kuendelea kubaki Dar ni tatizo,foleni kila siku zinaongezeka kwa sababu watu wengi wapo huko. Serikaki ikihamia Dom ni kweli mwanzoni lazima gharama ziwepo lakini baada ya kuhamia serikali itajiendesha kwa gharama ndogo. Dar inatakiwa ibakie kuwa ni mji wa kibiashara tu. Najua kuna wanaopinga kwa sababu wamezoea kuishi Dar mabadiliko kama haya lazima kuna waty wataumia. Magufuli akikamilisha hili lakuhamisha serikali nitamsifu sana.
Hata mimi huwa simwelewi mambo yake ila kwa hili namuunga mkono tatizo amehapa kuwa ndani ya miaka minne kitu ambacho nina wasiwasi nacho,muda aliojipa ni mchache sana
 
Nakushauri kafanye tathmini ya miji mikuu mingine duniani kisha uone kama huhitaji kubadili fikra...

Kwa ufupi tuu.. Dar imeshapanuka to the extent of a breaking point.. tunachofanya Dar sasa hivi ni kuvunja mijengo ya zamani na kujenga mapya on the same spot.. sasa kwanini tusihamie dodoma mkuu??

Mfano mizuri Pretoria na Jo'berg, NY na DC, Beijing na Shangai,
Huyu nanga, hajui kuna miji ya kibiashara na miji ya kiserikali ambayo ndo capital cities
 
Kama hayo matakwa ya Rais wa kwanza ni mazito kiasi hicho, ilikuwaje hadi leo hiyo Dodoma si makao makuu?
Nakushauri kafanye tathmini ya miji mikuu mingine duniani kisha uone kama huhitaji kubadili fikra...

Kwa ufupi tuu.. Dar imeshapanuka to the extent of a breaking point.. tunachofanya Dar sasa hivi ni kuvunja mijengo ya zamani na kujenga mapya on the same spot.. sasa kwanini tusihamie dodoma mkuu??

Mfano mizuri Pretoria na Jo'berg, NY na DC, Beijing na Shangai,
Tukiondokana na ujinga wetu wa kuwawaza wahaya, wachaga, wanyakyusa nk kama 'vinara wa ukabira' na kuja kwenye uhalisia ndipo utagundua kuwa Dodoma ni pagumu kuwa mji mkuu. Kama issue ni ukatikati wa nchi nadhani DC sio katikati ya America na London vilevile.
Hili suala litaendelea kututesa kwa maana 'uswahili' uliopo DSM pia unauondolea mji huu mkubwa hadhi ya kuwa mji mkuu wa nchi kama ilivyo kwa Dodoma. Hichi kinachoitwa chuo kikubwa Tanzania ni ukubwa wa majengo tu na hao wabunge hata siku za bunge lenyewe huwa nusu ya muda wanaikimbia hiyo Dodoma yetu.
Tunaiona Dodoma kwa sababu za kijiografia na tunachosahau au kutokufikiria ni kuwa mfumo wa utawala wa tanzania hauoani na jiografia yake. Ndio maana waliokuja na wazo la majimbo mlidhani wanaleta ukabila na naamini huko mbele mawazo yao yanaweza kukubalika zaidi ya wale wanaotaka kutumia ubabe na nguvu kuhamia Dodoma.
 
Msongamano utapungua Dar kama serikali itahamia Dodoma ambapi ni faida kubwa sana!Wametuchosha na mamisafara yao yanayotusababishia kero sana!
 
Bora yahamie idodomiya ili at least kuwa na regional balance na mikoa mingine inyanyuke kuendeleza supremacy kwa mkoa mmoja ni hatari sana hasa kurundika vitu vyote sehrmu moja. Tena serikali ingeweka Sera za kuendekeza kanda muhimu kwa muendelezo sawa wa kiuchumi
 
Always Dom ndio Makao makuu sema govt ndo haijahamia
Sawa, naongelea huko huko kuhamia maana imechukua miongo na miongo tangu maamuzi hayo yalipofikiwa enzi za mwalimu.
 
Hata mimi huwa simwelewi mambo yake ila kwa hili namuunga mkono tatizo amehapa kuwa ndani ya miaka minne kitu ambacho nina wasiwasi nacho,muda aliojipa ni mchache sana
Akijipanga inawezekana...Anahamisha wizara taratibu taratibu mpaka zote ziishe. Ni mipango na priority tu hapo.
 
Dodoma hakuna sehemuu nyingi za starehe kama dar
Magufuri akinyanyua mguu tu kuhamia Dom hvyo vyote vitamfuata sijui ni mfanyakaz gani atakayetakiwa Dom asiende labda aache kaz
 
Kuna miji kama Manyoni kukua na kupanuka kutokana na kuwa karibu na mji mkuu.Biashara zitaongezeka.Hii ni faida.
 
Akijipanga inawezekana...Anahamisha wizara taratibu taratibu mpaka zote ziishe. Ni mipango na priority tu hapo.
angefanya kimya kimya kwa kutamka pale suala hilo litamzeesha mapema sana na hivi watu wana imani naye sio kama yule mkwere msanii akifeli hilo litamuhathiri kisaikolojia,kuhamisha serikali sio kama kuhamisha kitanda toka chumba hiki kwenda chumba kile,nchi ina vimeo vingi sana ataacha lipi akamate lipi kwa miaka minne iliyobaki,fly over na daraja la coco beach vinamsubiri,viwanda sijui nini sijui
 
Kuna miji kama Manyoni kukua na kupanuka kutokana na kuwa karibu na mji mkuu.Biashara zitaongezeka.Hii ni faida.
 
Back
Top Bottom