Mkuu, hili halihitaji political support hakuna issue ya kupiga kura hapo. Serikali ina watumishi wa umma. Hapa ni suala la maamuzi magumu. Raisi ashayafanya. Kuhusu resources, hilo tuwaachie makatibu wakuu maana wao ndo wanajua jinsi ya kufanya michakato. Hela ipo. Hela ya escrow ingewahamisha dodoma na kuwarudisha tena Dar. Issue ni priority tu. Kumbuka wanaotuogopesha ni wale waliozoea jiji. Sasa kuhama ni changamoto. Dom ilishapangwa since 1973 kupokea serikali, kilichokosekana na political will ya Raisi. Sasa Magu anatangulia, mwenye ubavu abaki sasa. T2020DOM