Napinga kibali cha Papa kwa Mapadre

Mpaka anachagulia kuwa kiongozi mkuu wa Roman Catholic ni hakika isiyo hata na chembe ya shaka kuwa anaelimu ya kutosha. Hivyo atakuwa amejiridhisha kuwa hakuna andiko linalo zuia kuoa au kuolewa. Hivyo basi usipinge kwa mapenzi yako tu na udogo wa elimu yako.
 
Muumba mwenyewe alipomaliza kuumba akavibariki alivyoviumba na kuviona vyema na Akasema, Enendeni Mkaijaze Dunia. Mtaijaza kwa kutiana vidole!?

Acheni kujifanya wajuaji
 
Mtume Paulo aliishi kiseja, siyo hawa wa kulazimishwa na sheria za kanisa..kama huna quality za kujizuia na mambo ya kimwili unakuwa huna tofauti na wanyama, akihisi harufu ya jike tu lazima afuate
Paulo alisema hayo ni maoni yake sio sheria

Btw nyege ni kama usingizi kuzuia haiwezekani labda usiwe mzima
 
Mbona mapadri karibu wote wana mademu na watoto kipi unatetea hasa, waruhusiwe kugonga au waachwe kinafiki wajigongee vichochoroni kimya kimya
 
Kweli Bora waruhusiwe tu
 
Hakuna aliyeruhusu
Acha ujuaji
 
Kwa mtazamo wako yeye Paulo hakuwa mzima? usipokula papuchi hizo nyege zitakuua..
si huwa mnasema kuna mengi kweny bible hayajaandikwa na kusimuliwa?
kuna unawezekano hakuwa mzima

usipotomba lazma udate mkuu labda "kama sio mzima"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…