Napinga kauli ya Freeman Mbowe ya kumsamehe Sabaya

Napinga kauli ya Freeman Mbowe ya kumsamehe Sabaya

Usipomsahe unapata faida Gani na ukimsamehe unapata faida Gani .

Kusamehe au kutosamehe ni sawa

Binafsi no GOD forbid everything happens for reason and everything is blessing in this .

FAM is great Man , knowledgeable , smart and wiser plus visionary.
Visionary leader unakaa miaka 20+ kwenye madaraka, na bado unataka kuendelea kukaa wakati watu wameshachoka? Ama ni mambo ya kumvika kilemba cha ukoka?
 
Mbowe amezungumza kama raia wa kawaida ambae dini yake inamuambia amsamehe mbaya wake mara saba mara sabini. Hakutaka Sabaya asamehewe na taifa au dola. Lakini kama Mungu wake aliweza kumsamehe Saul, Mbowe ni nani ashindwe kumsamehe Sabaya?

Amandla...
 
Mbowe amezungumza kama raia wa kawaida ambae dini yake inamuambia amsamehe mbaya wake mara saba mara sabini. Hakutaka Sabaya asamehewe na taifa au dola. Lakini kama Mungu wake aliweza kumsamehe Saul, Mbowe ni nani ashindwe kumsamehe Sabaya?

Amandla...
Mbowe angefaa zaidi awe kiongozi wa dini au mfanyabiashara tu badala ya kuwa kiongozi wa CHADEMA au kisiasa.
 
Mbowe angefaa zaidi awe kiongozi wa dini au mfanyabiashara tu badala ya kuwa kiongozi wa CHADEMA au kisiasa.
Alikuwa yote hayo wakati anaitoa Chadema ilikokuwa mpaka kuifikisha ilipo sasa.

Amandla...
 
Kwa ukatiri n.a. unyama aliofanya Sabaya hapaswi kusamehewa na yeyote na Nina hakika wako wanaopanga kulipa kisasi (nawatakia kila la heri)

Namheshimu Freeman na wote mnajua lakini namheshimu zaidi Mwenyezi Mungu ambaye hajatuagiza popote kumsamehe Shetani.

Sabaya ni aina ya vijana wanaopaswa kunyongwa hadharani, Huyu anapaswa kukamatwa na kutendewa kama Samuel Doe, unnyama alioutenda Sabaya hauandikiki hapa jukwaani, Huyu hapaswi si tu kusamehewa bali hapaswi kukaribishwa popote penye kundi la watu wema.

Sabaya anapaswa kukomeshwa ili wapumbavu wengine wa kiwango chake wajifunze na kuogopa kutenda ubaya kwa wengine, wajinga wa aina ya sabaya wanapaswa kulipwa kisasi ili wengine wajifunze kwamba madaraka ni dhamana ya muda mfupi sana

Nina hakika hata familia ya Mbowe iliyoteseka na madaraka ya Sabaya Wameshangaa.

Mwisho, Japo si kw a umuhimu, KILA UBAYA UTALIPWA
Samehe Saba mara Sabini,Matovu yake,mateso kwake halali SI ajabu Kwa kusutwa na dhamira!
 
Kwa ukatiri n.a. unyama aliofanya Sabaya hapaswi kusamehewa na yeyote na Nina hakika wako wanaopanga kulipa kisasi (nawatakia kila la heri)

Namheshimu Freeman na wote mnajua lakini namheshimu zaidi Mwenyezi Mungu ambaye hajatuagiza popote kumsamehe Shetani.

Sabaya ni aina ya vijana wanaopaswa kunyongwa hadharani, Huyu anapaswa kukamatwa na kutendewa kama Samuel Doe, unnyama alioutenda Sabaya hauandikiki hapa jukwaani, Huyu hapaswi si tu kusamehewa bali hapaswi kukaribishwa popote penye kundi la watu wema.

Sabaya anapaswa kukomeshwa ili wapumbavu wengine wa kiwango chake wajifunze na kuogopa kutenda ubaya kwa wengine, wajinga wa aina ya sabaya wanapaswa kulipwa kisasi ili wengine wajifunze kwamba madaraka ni dhamana ya muda mfupi sana

Nina hakika hata familia ya Mbowe iliyoteseka na madaraka ya Sabaya Wameshangaa.

Mwisho, Japo si kw a umuhimu, KILA UBAYA UTALIPWA
Mbowe sasa hivi amekuwa pandikizi la CCM. Hana jipya.
 
Mbona mmeshindwa kumchukulia hatua?
Alishafikishwa mahakamani. CCM ni chama kisichovumilia watu kama Sabaya ndo maana hata kwenye nafasi za uongozi hatakiwi. Ni tofauti na CHADEMA ambao wezi wa michango ya mwenyekiti wanatetewa
 
Alishafikishwa mahakamani. CCM ni chama kisichovumilia watu kama Sabaya ndo maana hata kwenye nafasi za uongozi hatakiwi. Ni tofauti na CHADEMA ambao wezi wa michango ya mwenyekiti wanatetewa
Mahakamani ikawaje?
Je, alihukumiwa kutokana na makosa yake au sheria zetu butu zinaendeshwa kwa matamko?
 
Mbowe amezungumza kama raia wa kawaida ambae dini yake inamuambia amsamehe mbaya wake mara saba mara sabini. Hakutaka Sabaya asamehewe na taifa au dola. Lakini kama Mungu wake aliweza kumsamehe Saul, Mbowe ni nani ashindwe kumsamehe Sabaya?

Amandla...
Na Mimi ni raia nimepinga
 
Back
Top Bottom