Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,505
- 86,054
Kuna taarifa kuwa daladala 15 zitaongezwa kwenye mradi wa mabasi ya mwendokasi! Hapa iwe ni Kwa dharura au Kwa kawaida Bado hii ni poor planning ya kiwango kisichoweza kuvumilia.
Mnashindwaje kununua mabasi mapya? Kwani huu mradi imekuja au umejengwa ghafla? Yaani hakukua na muendelezo?
Tuliambiwa Daladala ziondoke Morogoro Road, tukaacha kujenga Hadi vituo vya daladala, Sasa hivi TUNARUDISHA daladala Tena kwenye barabara za mwendokasi ambazo MILANGO yake ni tofauti Kabisa.
Tuliwahi kusema kuwa hii miradi hatuwezi kwakua Kila kitu tunakifanya kuwa SIASA
Mnashindwaje kununua mabasi mapya? Kwani huu mradi imekuja au umejengwa ghafla? Yaani hakukua na muendelezo?
Tuliambiwa Daladala ziondoke Morogoro Road, tukaacha kujenga Hadi vituo vya daladala, Sasa hivi TUNARUDISHA daladala Tena kwenye barabara za mwendokasi ambazo MILANGO yake ni tofauti Kabisa.
Tuliwahi kusema kuwa hii miradi hatuwezi kwakua Kila kitu tunakifanya kuwa SIASA