dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Kwa hari ya leo bungeni nina uhakika mawaziri na serikali kwa ujumla leo wanalala viroho juu. Maana hata wana CCM wenzao ndo walikuwa wanawategemea kuwatetea ndo wamewakandamiza vilivyo.
Ni ukweli Wadanganyika tumeuzwa ni aibu kwa serikali na chama tawala inatosha sasa
Wametuibia vya kutosha kula wale wao kulipa tulipe sisi.
Wanasafiri na kuingia mikataba mibovu zaidi ya Karl Peters.
Uchumi unakuwa kwa 7% wakati deni linakuwa kwa 39%
Wameuza ardhi yote nzuri na kuwapa mikopo mikubwa na wanauwa mabenki yetu thn wanatwambia wamekimbia hivi kweli.
Ni ukweli Wadanganyika tumeuzwa ni aibu kwa serikali na chama tawala inatosha sasa
Wametuibia vya kutosha kula wale wao kulipa tulipe sisi.
Wanasafiri na kuingia mikataba mibovu zaidi ya Karl Peters.
Uchumi unakuwa kwa 7% wakati deni linakuwa kwa 39%
Wameuza ardhi yote nzuri na kuwapa mikopo mikubwa na wanauwa mabenki yetu thn wanatwambia wamekimbia hivi kweli.