FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,814
- 46,936
Kwa sababu zifuatazo:
1.) Ipo karibu na vivutio vingi sana, hivyo tutakuwa tumekuza utalii wa ndani kwa kiasi kikubwa sana, ukizingatia utalii unaongoza kuliingizia taifa mapato ya kigeni na tukiongeza ya ndani itakuwa safi sana, pia watalii watatua Arusha moja kwa Moja badala ya kupitia Jomo Kenyatta na kilala mahoteli ya huko.
2.) Ipo karibu na Kenya na hivyo itakuwa rahisi kujiambukiza maendeleo kutoka Kenya ikiwemo Teknolojia na ustaarabu wa kimaendeleo, pia tutalikamata solo la Kenya kwa ustadi mkubwa zaidi na hivyo kukuza uchumi.
3.) Tatu Arusha ipo tayari zaidi kirasilimali watu na kimiundombinu kuweza kuipokea serikali bila ukakasi wowote ule ukilinganisha na Dodoma.
4.).........5.).........
1.) Ipo karibu na vivutio vingi sana, hivyo tutakuwa tumekuza utalii wa ndani kwa kiasi kikubwa sana, ukizingatia utalii unaongoza kuliingizia taifa mapato ya kigeni na tukiongeza ya ndani itakuwa safi sana, pia watalii watatua Arusha moja kwa Moja badala ya kupitia Jomo Kenyatta na kilala mahoteli ya huko.
2.) Ipo karibu na Kenya na hivyo itakuwa rahisi kujiambukiza maendeleo kutoka Kenya ikiwemo Teknolojia na ustaarabu wa kimaendeleo, pia tutalikamata solo la Kenya kwa ustadi mkubwa zaidi na hivyo kukuza uchumi.
3.) Tatu Arusha ipo tayari zaidi kirasilimali watu na kimiundombinu kuweza kuipokea serikali bila ukakasi wowote ule ukilinganisha na Dodoma.
4.).........5.).........