Napendekeza serikali ihamie Arusha badala ya Dodoma

Napendekeza serikali ihamie Arusha badala ya Dodoma

Kujibu mtihani huku unajua majibu rahaaaa sanaaa....
 
Jimama la Kigogo lilisababisha Hayati aupe heshima mkoa dom
 
Nadhani iwekwe ratiba ya rotation ya makao.makuu ya nchi. Baada ya 10 yrs, iwe zamu ya Ruvuma serikali yote ihamie huko,then 10yrs again iwe kigoma, then 10yr iende lindi, 10yrs iende mara, nk. Hili.nadhani.ndio litaleta usawa na kuchochea maendeleo katika miji.yote hiyo.
Halfu tujuzane.kidogo, haya majengo(kama ofisi ya.waziri.mkuu nk) yatatumika kufanya nini?
 
Back
Top Bottom