Meshack mtobwa
Member
- Feb 23, 2017
- 30
- 5
Hallow guys. Jina langu ni meshack Meshach mebamto mtobwa.
Nina mada ndogo ila muhimu sana ninacho kuomba usitukane wala kutoa maneno machafu changia points.
Napendekeza kuwe na uniforms (SARE) katika vyuo vikuu vyote na veta kwa lengo LA
1.Kuepusha tamaa kwa Dada zetu ambao wanafikia kuingia kwenye vishawishi kwaajili ya kupata pesa akanunue nguo abadili kila siku kama wengne
2.kuondoa vishawishi kwa vijana na walimu kwa wale wanao vaa nusu uchi.
Namengine mengi utaongezea faida na hasara za kuto kuvaa uniforms.
Tujifunze kwa nchi za wenzetu mfano KOREA,MARECAN na nchi nyingi tu wanafanya ivyo.
Sare sio lazma kuwa shat jeupe na suruali nyeusi. Wenzetu wanavaa sutu.nguo nzuri mpaka inavutia ila kinacho takiwa iwe sare .
KARIBU KUTOA MAONI YAKO.
BY mebamto's
Wisdom.b@b.m
Nina mada ndogo ila muhimu sana ninacho kuomba usitukane wala kutoa maneno machafu changia points.
Napendekeza kuwe na uniforms (SARE) katika vyuo vikuu vyote na veta kwa lengo LA
1.Kuepusha tamaa kwa Dada zetu ambao wanafikia kuingia kwenye vishawishi kwaajili ya kupata pesa akanunue nguo abadili kila siku kama wengne
2.kuondoa vishawishi kwa vijana na walimu kwa wale wanao vaa nusu uchi.
Namengine mengi utaongezea faida na hasara za kuto kuvaa uniforms.
Tujifunze kwa nchi za wenzetu mfano KOREA,MARECAN na nchi nyingi tu wanafanya ivyo.
Sare sio lazma kuwa shat jeupe na suruali nyeusi. Wenzetu wanavaa sutu.nguo nzuri mpaka inavutia ila kinacho takiwa iwe sare .
KARIBU KUTOA MAONI YAKO.
BY mebamto's
Wisdom.b@b.m