Norshad
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,216
- 12,604
Tunafanyaje sasa hatujajiumba wenyewe
kitoe shunie, kitambi kinatoka fasta ukiamua
Tunafanyaje sasa hatujajiumba wenyewe
Nakitoaje mambo za diet siwezi mie napenda sana kila kila na mazoezi ndio siwezikitoe shunie, kitambi kinatoka fasta ukiamua
Nakitoaje mambo za diet siwezi mie napenda sana kila kila na mazoezi ndio siwezi
Acha tubaki navyo tufresh, maana nimeona leo wapo wanavyovihusudu, na kuwamwagia sifa kem kem hahaaah
Wololo hee hee hee hapo hataAnavyolipenda sasa hili tambi yaan najiuliza alikuwa wapi siku zote halafu ananiambia shunie mm napenda sana kitambi chako yaan ukijilaza chali kinajigawa






Acha tubaki navyo tu
poa ...this weekendSema kweli pat kwahiyo nimtume mtu akuje kuichukua

Mungu ni mwemaeeeeh kumbe mmekumbukwa,, hahaha ila uzuri wenu mnawi kufika kileleni kwenye yale mambo yetuuu
Mungu ni mwema
kuanzia leo nitaanza kujidai kumbe kuna wanaovifagilia vitambi eeh nilikuwa sijui hili vitambi oyee
Duuh! ila we dada Shunie utakuwa na shape moja hatari sana maana kwa mujibu wako flat screen afu una kitambi,teh!teh!teh!Asante Mungu na sisi tumeonekana leo kwahiyo mkuu unayapendea nn matumbo yetu
Sawa kazi kuendelea kuvilea vitambi vyenuKwakweli mleta uzi katupa moyo sana
Duuh! ila we dada Shunie utakuwa na shape moja hatari sana maana kwa mujibu wako flat screen afu una kitambi,teh!teh!teh!







Poa pat hamna shidapoa ...this weekend
Bora umemrudisha norshad niliyemzoeaflexible