usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,978
- 14,097
Haa haa haa lkn c n sku mojaNimejua tu we zako modo uje kwenye kitambi nikikaa tu kimeshuka kimefunika kila kitu si utakuwa unanicheka wewe
Tuna text mitambo
Ikibd ntalipa gym every month
Haa haa haa lkn c n sku mojaNimejua tu we zako modo uje kwenye kitambi nikikaa tu kimeshuka kimefunika kila kitu si utakuwa unanicheka wewe
nina zawadi yako ya heineken katon 1Asante Mungu na sisi tumeonekana leo kwahiyo mkuu unayapendea nn matumbo yetu
Nimekusamehe mkuu msitufanyie hivyo na sisi tunapenda kupata rahaHaahahaha nakuta radhi mkuu, sikujua na wewe upo kundi hili.
Halafu rudisha avatar tulizozoea acha kutukatili hakuna kioja chochotemwanamke awe na kitambi na mwanaume awe na kitambi, kitandani ni vioja tupu abdalla kichwa panzi hupata wakati mgumu
Kweli Mungu hamtupi mna wake. Na sisi tumepata wakutusemeaAsante Mungu na sisi tumeonekana leo kwahiyo mkuu unayapendea nn matumbo yetu

Sitaki usser acha niendelee na anayependa kitambi changuHaa haa haa lkn c n sku moja
Tuna text mitambo
Ikibd ntalipa gym every month
Sema kweli pat kwahiyo nimtume mtu akuje kuichukuanina zawadi yako ya heineken katon 1


Hivi umesahau kitambi changuMkuu tuwekee na picha kabisa
Kweli Mungu hamtupi mna wake. Na sisi tumepata wakutusemea![]()




kumbe kuna wanaume jamani wanapenda mavitambi yetu khaaa
Asanteee watu ni vibonge hapa lakini ni wepesi huyo potabo haingiiNadhani suala la kuwa mwepesi kitandani ni ufundi na ujuaji wa mhusika sio unene au uslim![]()
Heeeee shunie co pamanertSitaki usser acha niendelee na anayependa kitambi changu
Halafu rudisha avatar tulizozoea acha kutukatili hakuna kioja chochote
Asanteee watu ni vibonge hapa lakini ni wepesi huyo potabo haingii







Hivi umesahau kitambi changu
sijakisahau hicho ndio kizuri chakupapasa
1hr nakuuzia au hizo mambo siwezi mie we fanya research kwa kwenye vitambi wengine acha mbebez wangu aliyenikubali na mtambi wangu acheze nachoHeeeee shunie co pamanert
N Kwa 1hr tu jmn
Hakuna mtihani wowote utamu ni ule ulehahaaah kitambi mixa kipipi hahaaah mtihani
Watu wamekariri vibonge wazitoUnakuta kibonge mwenye kitambi chake anakutoa jasho unamwangalia unabaki kusema Hiiiiiiiii
![]()