Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,063
Hapana jamani hivi ninavyotaka vinatatikanaUtataka na visivyotakikana
Hapana jamani hivi ninavyotaka vinatatikanaUtataka na visivyotakikana
Tayari kwa kukeshaNipo mkuu, nimeingia muda si mrefu humu
Hahaha
Halafu ni ukweli!! Mfano nikienda hospital kumuona mgonjwa muda ukiwa bado au umeisha, utaona watu wananipisha tuu mpaka mlinzi afungua gate naingia!
Huwa najiuliza kwani inakuwajeee?!
Jibu ni personality!

MuoneMngh!
Kuna siku hosp ya mkoa moro hilo gate lilikuwa limefungwa mpaka uzunguke, jamani tulikuwa tulikubaliwa 2Hahaha
Halafu ni ukweli!! Mfano nikienda hospital kumuona mgonjwa muda ukiwa bado au umeisha, utaona watu wananipisha tuu mpaka mlinzi afungua gate naingia!
Huwa najiuliza kwani inakuwajeee?!
Jibu ni personality!
Yaani Shunie nina wasi wasi na ww aki!







mbalizi usiniharibie cv mieHalafu nahisi ban inakujaUtupige ban na leo!
Kukutenga hapana lakini tuambie ukweli ShunieJamani msinitenge
YaaniShati langu la blue kama afisa flani hivi kumbeee!
Mh ebu acha mambo zako umeanzaHalafu nahisi ban inakuja
Hahahha ukweli upi sasaKukutenga hapana lakini tuambie ukweli Shunie
Mzigua nampendea ni mkweli na anaonekana ni matured anajitambuaumejuajee jamani ile no nyingine
Au anakuambia ukiona mtu anatafuta mfanyakazi naomba unisaidieYaani kuanzia hapo nikawa makini, ushakuna na mtu anakwambia nitafutue kazi dada jamani![]()
Yaani ww!Mwenyewe
Si malipo akiKulima kunahusiana nn na mambo za hela ya soda
MwenyeweKhaaaaaa
Nimekuona ndugu. Tunaburudika na jf yetuNipo mkuu, nimeingia muda si mrefu humu