Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
😂😂Unaikumbuka hiyo avatar? Irudishe pulizi![]()
Naikumbuka.. nitairudisha soon mpendwa.
😂😂Unaikumbuka hiyo avatar? Irudishe pulizi![]()
Mwanaume mwenye kitambi ni majanga.ni sawa kuwa na choice . mimi pia napenda wanaume wembamba. yani nikiona mwanaume ana kitambi hamu inaisha.
Nyie in was kwetu sisiKina tabu mtingita tutakoma![]()
Hata jimama unaweza kukimbia nalo cha muhimu tu afya yako isiwe mgogoroHuwa napenda wanawake wembamba, hata ukiingia nae club, bar guest/lodge then ukazuka moto unamweka begani na kukimbia zako![]()



Iiih jamaniNyie in was kwetu sisi
Hapo hukimbii hata mita 25


ni sawa na kuwa umebeba Dumu la lita 40 














Lol, thubutuuuuu! 😂😂😂Kina tabu mtingita tutakoma![]()
😃😃😃😃Nenda buza...wanavaa madela.bas kama kavaa shuka..anaelea kwenye dela
😊😊😊😊😊Napenda sample hii, mtoto mwembamba ila shape inaonekana, kiuno chembamba ukimbambia mikono unaizungusha, sio uno kubwaaa mikono haikutaniView attachment 1481419
😃😃Wewe ni kipipa, a.k.a kimtungi.
Ila nakupenda hivyohivyo🤣🏃🏃
sasa kama ni kipipa usielezwe ukweli..au wataka akudanganye😃😃BbyYaani mimi ni kipipa kweliiiii???
😃😃Huu Uzi wa kawaida tu, lakini kuna wanawake utawatesa sana kisaikolojia
hapa hapana aisee BIG NO