Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,773
- 40,444
Vimtungi hii mada haiwahusu.😀😀Kina tabu mtingita tutakoma![]()
Vimtungi hii mada haiwahusu.😀😀Kina tabu mtingita tutakoma![]()
Na kweliVimtungi hii mada haiwahusu.![]()
🙌😀😀.BbyYaani mimi ni kipipa kweliiiii???




Nakugawa bure
.
Ukivaaga na lile gauni lako jekundu unapendezaga sana unakuwa kama kimtungi cha orxy
Ila mm nakupenda hivyo hivyo.
Kwamba una mademu!Hivi kuna mtu anapenda Mademu wembamba au mimi tu? Wembamba wazuri, mamanzi wengi wembamba nikiwaona nawaona wazuri.
Manzi mwembamba akivaa suruali ya kibana zile paja zinavyochongeka zinavutia. Siwezi kuwa na Manzi mnene simaanishi bonge hata aliye moderate, mimi wembamba ndio model zangu. Sijawai kuwa na manzi asiyekuwa mwembamba, mademu wangu wote wembamba.
Hawa viumbe wembamba ukiwakumbatia wako hot sana wanajoto fulani, sijui kwasababu ngozi yao na mifupa imekaribiana.

Weweeeee....Kina tabu mtingita tutakoma![]()



MayoooWeweeeee....
Hamtakoma wala nini. Mnapendwa sana tena mno kabisa kabisa gete gete![]()

mwenzio anapenda vyembamba ila minyama ikipita anatamaniSasa huo si ni mzimu wa bongo muvi Sasa😂😂Nenda buza...wanavaa madela.bas kama kavaa shuka..anaelea kwenye dela
😀😀Minyama yangu niachie sini kimtungi hiki![]()
Hii comment imenivunja mbavu !!😂😂😂😂Huu Uzi wa kawaida tu, lakini kuna wanawake utawatesa sana kisaikolojia