Jamani napenda sana kuwa na mtoto shombe shombe ila ndio hivyo sijabahatika kuolewa na mtu wa hivyo. Nimeolewa na mtu mwenye sura ngumu kuanzia yeye mpaka familia yao yote mpaka naogopa zaa nae. Japo kila siku anakazania anataka mtoto ila ndio hivyo naogopa. Nampenda sana ananipenda pia amani treat kama queen ila hmmm nikifikiria kuzaa nae moyo wangu unasita. Kuna mwanamke yeyote humu ameshawahi kukutana na hali kama hii? Ulifanyaje?