ha ha!! sasa huwa unawaza nini mkuu?
Ndo walewale kwa hiyo huyo shemeji yetu unamtengenezea visa ili alie au vp upate umbembeleze duu ila wengine ndo ivo wakilia wanakuwa na sura km za remi na sauti km ya zembwela kavu mpaka kero
nimeshafumba mkuu ukimaliza kuniombea niambie nifumbue
Daaaaaaah hiii kali.Mpatie namba huyo.Kuwa kikundi hapa cha wanawake huwa kinakodiwa kulia msibani, nikupe contact waje wakuburudishe?
You should see a Shrink, man.
Not necessarily.I second that, the guy is a psycho.
Not necessarily.
Ahsante cute b, njoo nikuchokeze basi maksudi ila nikubembeleze maana kitambo kweli sijapata hiyo bahati
That's kinda weird, I'd say. But psycho is a strong word.Then how else would one explain the attainment of pleasure in other people's grief. He is a psycho and a weirdo too.