Bukya
Senior Member
- Apr 1, 2014
- 196
- 121
Nikuulize swali je mama yako mzazi akilia utajisikiaje?nikimuona mwanamke analia huwa nafarijika sana huwa napatwa na huzuni usoni ila nahisi raha sana moyoni na huwa naenda kumbembeleza kama nipo nae karibu hapo ndo raha inaongeze