Napenda sana mwanamke akilia

Napenda sana mwanamke akilia

Utapata PM za mademu wengi sana humu. Maana wengine akilia nasikia hasira, naweza muua
 
sijui kama nina tatizo au vipi lakini sio siri yani nikimuona mwanamke analia huwa nafarijika sana huwa napatwa na huzuni usoni ila nahisi raha sana moyoni na huwa naenda kumbembeleza kama nipo nae karibu hapo ndo raha inaongezeka moyoni,jana nilipita mitaa flani nikamkuta mdada analia yuko pekeyake anasubiri daladala nikaona si vibaya nikamsogelea pale alipo nikamkuta anatokwa machozi hataki kusema tatizo ni nini basi nikambembeleza pale hadi raha yani kumbembeleza mwanamke hadi akanyamaza then nikamuuliza tatizo nini akasema mapenzi nikasema shit.!!
hadi leo sijajua tatizo langu akilia mtoto sipendi akilia mwanaume sipendi ila akilia mwanamke napenda sana nim'bembeleze

Mkuu huenda kulia kwa mwanamke kunakuletea hisia zinazokupandisha mori!
 
sijui kama nina tatizo au vipi lakini sio siri yani nikimuona mwanamke analia huwa nafarijika sana huwa napatwa na huzuni usoni ila nahisi raha sana moyoni na huwa naenda kumbembeleza kama nipo nae karibu hapo ndo raha inaongezeka moyoni,jana nilipita mitaa flani nikamkuta mdada analia yuko pekeyake anasubiri daladala nikaona si vibaya nikamsogelea pale alipo nikamkuta anatokwa machozi hataki kusema tatizo ni nini basi nikambembeleza pale hadi raha yani kumbembeleza mwanamke hadi akanyamaza then nikamuuliza tatizo nini akasema mapenzi nikasema shit.!!
hadi leo sijajua tatizo langu akilia mtoto sipendi akilia mwanaume sipendi ila akilia mwanamke napenda sana nim'bembeleze

kuna dalili za sadist hapa
 
Mtaani kwetu kuna msiba leo mke wa marahemu analia kweli mazunguzo yenu yatakuwa hivi-: kwann unalia?, atajibu ' Mume wangu kafariki', alafu we utasema Shit!
 
Mmmh! Utakuwa na jini machozi bin mwanamke! Kaombewee! Teh teh
 
Katika jina la Kristo Yesu wa Nazareth alie hai ukapate uponyaji wa tatizo lako -Amen.

Waweza fumbua macho sasa

dah! nilfumba macho tangu jana kumbe uliniambia nifumbue,tatizo sikusikia
 
aiseee mi huo ndo ugonjwa wangu..somtym kitu kidgo najiliza kusudi ili nibembelezwe..na mpenzi lakini
 
aiseee mi huo ndo ugonjwa wangu..somtym kitu kidgo najiliza kusudi ili nibembelezwe..na mpenzi lakini

dah! we utanifaa sana maana nitakuwa sichepuki wa kumbembeleza yupo
 
Back
Top Bottom