ALU255
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 2,089
- 2,125
- Thread starter
- #21
Wewe utakuwa enzi zako za utoto ulikuwa ukipigwa nambavu wa mtaani
kwenu unakimbilia kwa dada zako waka kuubembeleze badala ya kukomaa
na kutunisha msuli wako kwa vidume wenzio, sasa umeathirika sana
kisaikolojia mpaka sasa. na ndio maana una penda kupangusana machozi
na watoto wa kike tu...
enzi za utoto wangu nilikuwa nawapenda sana wasichana nao walikuwa wananipenda sana ilikuwa wakipigwa kwao wananifata wanajua nitawabembeleza tu