Wanaanzaga hivyo hivyo polepole. Kesho ukikosa wa kumbembeleza unaanza kuwadhuru ili walie uwabembeleze. Una tatizo!hapana mkuu mi sio kama hao watu mi napenda alie ili nimbembeleze tu
'akanyamaza then nikamuuliza tatizo nini'
Nichapwe na nani mshipa?
Hapa kwe2 pia kipo,pga no.0674212108Kuwa kikundi hapa cha wanawake huwa kinakodiwa kulia msibani, nikupe contact waje wakuburudishe?