Kaazi kweliDaaah wengine tushawaza mbaliiiii....huu uhuni utatuua daah
Unataka sema hivo havija nona! ?![]()
![]()
akili zetu hizi bana zinawaza mbali sana,hapa nilikua nategemea kukutana na picha ya likitumbua lililonona

Hii jinsi imeliwa na panya ama ndivo ilivo!?

Hahahaha kumbe tupo wengi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wengine tumebaki kunong'ona mioyoni tu
Udhalilishaji huu
NdioHahahaha kumbe tupo wengi
Kwa kweli huku ni kupatwa kwa kitumbuaNdio
HahahahaaaaKwa kweli huku ni kupatwa kwa kitumbua
Hahahaha sijui kwanin wamekiweka jama dahHahahahaaaa
Kuna kitumbua real kimewekwa hapo umekiona![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Yaan huu uwazaji Wetu utatupeleka mbali,, eti na mm nlikua nshawaza Yale mambo yetu...Daaah wengine tushawaza mbaliiiii....huu uhuni utatuua daah
Ivi kwanini hakihusishwi na donat au andazi!?Daaah wengine tushawaza mbaliiiii....huu uhuni utatuua daah
Ukiona hivyo huyo mwenye vitumbua
Chupu chupu ujikwae mkuuKha, nilivyokimbilia kufungua huu uzii
