Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,715
- Thread starter
- #81
Hatari sana mahondaw:Hahahahaha nimekumbuka kitu lol eti Vitumbua vinene mtoa mada weeeeweee!!
Hatari sana mahondaw:Hahahahaha nimekumbuka kitu lol eti Vitumbua vinene mtoa mada weeeeweee!!
Hongera mkuu na mvua hiidah niko nacho hapa na mvua hii halafau kinatoa chaii ya motooo
Karibu tena mkuuHasa ukikila huku ukishushia na nido dah ntarudi baadae kuelezea utamu wake
Yaan huu uwazaji Wetu utatupeleka mbali,, eti na mm nlikua nshawaza Yale mambo yetu...

Pole bibieNlichokowaza kabla sijafungua uzi,ni Mungu pekee ndio ajuae
Asante bigbabaPole bibie
duuuuuh...Nlichokowaza kabla sijafungua uzi,ni Mungu pekee ndio ajuae
Enheeee kama hiki
kama uliniona vile chifuChupu chupu ujikwae mkuu![]()
haswaa![]()
mleta uzi ametupata
kama uliniona vile chifu
maana si kwa mbio hizo mkuu, watu tumevurugwa na vitumbua.Tuko pamoja kiongozi.asante![]()
Shikamoo mleta mada, umejua kucheza na akili zetu. Ngoja niende zangu kwenye uzi wa kutupia madem wakali nikapunguze stress
marahaba kijanaSiamin kuwa mpaka sasa hakuna pic ya kitumbua kinene![]()
![]()
![]()
marahaba kijana