kabanga
Platinum Member
- Dec 12, 2011
- 37,578
- 18,952
Yule wa kwanza.....
Ikutokee ukutane na yupi kati ya wale maex zako kadhaa?
Ikutokee ukutane na yupi kati ya wale maex zako kadhaa?
daah touchable story aiseeeha ha ha ha kwa nini mkuu
Hivi mmegundua hao walikuwa wapenzi wakiwa na umri gani?'Mwanajeshi mstaafu wa jeshi la Marekani KT Robbins, (97) ambaye alishiriki katika vita ya pili ya dunia amekutana na mpenzi wake Jeannine Pierson, 92 mfaransa waliyepoteana kwa miaka (75), baada ya vita kuisha kukutana katika maadhimisho ya D-Day. 'Source: KONA YA HABARI
View attachment 1130223
View attachment 1130224
Hivi mmegundua hao walikuwa wapenzi wakiwa na umri gani?
Pia inawezekana umri huo ndio walipoonana kwa mara ya mwisho22 mjeshi
17 mdada
lazima walikua pmj kwa muda mfupiPia inawezekana umri huo ndio walipoonana kwa mara ya mwisho