Napenda kupiga push up

Napenda kupiga push up

Pendelea kufanya aerobic exercises,haya ni mazoezi ambayo wakati wa kufanya unaingiza hewa nyingi safi mwilini na kutoa hewa chafu nje na kutoka jasho jingi,mazoezi haya ni kama kukimbia,mchakamchaka,kucheza mpira,kuruka kamba e.t.c....achana na anaerobic exercises ambayo haya ni mazoezi unayofanya ukiwa ndani amboko oxygen ni ndogo kama vile kupiga chuma e.t.c hayana faida sana kwa afya kwani huwa hayaunguzi mafuta mwilini kwa wingi!
ushaur mzuri
 
mwee tumbo linauma sana hapa mwee,yaani kama kidonda

Mwee!mwe nini hebu tutokee hapa kila unachoaambiwa hutaki ,unataka nini?au ndio unaturingishia hilo shape lako bomba naturali?haya bibi we are hooked tupiamo kapicha tujiridhishe tukutafute!(joke masai dada)
 
Mwee!mwe nini hebu tutokee hapa kila unachoaambiwa hutaki ,unataka nini?au ndio unaturingishia hilo shape lako bomba naturali?haya bibi we are hooked tupiamo kapicha tujiridhishe tukutafute!(joke masai dada)
wala sio utani Mungu kanijalia
 
Hello masai dada sijaskia jina lako wakati najua uliitia nia kweli kweli..... What's up?

nasubiri ukuu wa wilaya nasikia mkulu mpya anapenda sana furushi😅😅😅😅
 
wala sio utani Mungu kanijalia
masai dada usinitie majaribuni mie!maana wanawake wa siku hizi wakijaaliwa shape hawachelewi kuiharibu kwa kufakamia minyama choma na mibia!mi vitambi utafikri wanataka kuzaa sasa hivi!
 
Endelea na push ups mkuu....japo nakushauri utafute program ili uifuate.
Nina program moja in 2 months ukiifuata utafanya 150 push ups non stop

Mkuu naomba unielekeze hiyo program..mimi nina miez zaid ya 8 ila nafika push up 80 tu
 
masai dada usinitie majaribuni mie!maana wanawake wa siku hizi wakijaaliwa shape hawachelewi kuiharibu kwa kufakamia minyama choma na mibia!mi vitambi utafikri wanataka kuzaa sasa hivi!
hahaha sina tumbo ila kwingne kote namshukuru allah kafanya kaz yake
 
Nenda instagram mtafute huyu jamaa@doviesworkout au jingine@doviesfitness anamazoezi wala hayahitaji nguvu yupo vizuri huyu jamaa au mtu yoyote amcheki afu alete feedback tujue kama yamekufaa
 
Nenda instagram mtafute huyu jamaa@doviesworkout au jingine@doviesfitness anamazoezi wala hayahitaji nguvu yupo vizuri huyu jamaa au mtu yoyote amcheki afu alete feedback tujue kama yamekufaa
sina mwili mkubwa wa kupunguza napenda tu kuwa fiti tayari kwa lolote😊😊😊😊
 
Endelea na push ups mkuu....japo nakushauri utafute program ili uifuate.
Nina program moja in 2 months ukiifuata utafanya 150 push ups non stop
Mkuu naomba unishirikishe kwenye hiyo program yako. Mimi huwa napiga push ups 20 had 30 kwa asubuhi na jioni, hivyo napiga kati ya 50 na 60 kwa siku. Nahitaji kuwa naziongeza kila siku. Shukrani mkuu
 
hebu ngoja niulizie nkupitie kesho masaidada teh teh
 
Last edited by a moderator:
Najitolea kuwa mkufunzi wa mazoezi yako bureeeeeee kabisa...tena huduma naitolea nyumbani kwako kabisa....tukiwa wawili tu....
Ni mkufunzi niliyebobea katika mazoezi ya aina zote.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom