masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,396
- 19,356
Takwenyaaaa!!!!?
Ndugu zangu napenda sana kupiga mazoezi malaini asubuhi sio kwa ajili ya kupunguza mwili au kukata tumbo hapana,ni kwa ajili tu ya kuwa fit asubuhi kabla ya kwenda kusaka doo na jioni kabla sijapika kula na kufanya mambo mengine.
Tatizo ni kwamba napigia mazoezi ndani nasina vifaa vya gym nina kamba tu,tatizo mazoezi kama kujump na kuinuka na kukaa,kichura hayatoi jasho hata kidogo yaani, alafu yanapoteza muda na jasho utoi tangia pasaka niliwaza natakiwa nipate kazoezi kagum kidogo ila cha muda kidogo ambacho kinatoa jasho fasta ili nioge niwahi job.
Mweeee tangu jumatatu nikaanza kupiga push up hadi leo asubuhi baada ya kupiga moja tu nilitamani kuzimia kwa maumivu makali ya tumbo.yaani nyama za tumbo zinauma hapa sina hamu.
Naomba wadau tushauriane je niendelee na pushap maumivu yatapungua najua hilo lakini naogopa kupata six packs lol,ni kweli ukiendelea na hili zoezi unapata mgawanyiko wa mwili kama mwanaume maana hadi mikono inauma nisije nikawa kama john cena au daniel brian,,,
Jingine naomba kujua mazoezi gani nifanye yakunifanya kuwa fit msaada wadau
NB: Sikati tumbo wala kupunguza uzito nataka tu kuwa fit
Ndugu zangu napenda sana kupiga mazoezi malaini asubuhi sio kwa ajili ya kupunguza mwili au kukata tumbo hapana,ni kwa ajili tu ya kuwa fit asubuhi kabla ya kwenda kusaka doo na jioni kabla sijapika kula na kufanya mambo mengine.
Tatizo ni kwamba napigia mazoezi ndani nasina vifaa vya gym nina kamba tu,tatizo mazoezi kama kujump na kuinuka na kukaa,kichura hayatoi jasho hata kidogo yaani, alafu yanapoteza muda na jasho utoi tangia pasaka niliwaza natakiwa nipate kazoezi kagum kidogo ila cha muda kidogo ambacho kinatoa jasho fasta ili nioge niwahi job.
Mweeee tangu jumatatu nikaanza kupiga push up hadi leo asubuhi baada ya kupiga moja tu nilitamani kuzimia kwa maumivu makali ya tumbo.yaani nyama za tumbo zinauma hapa sina hamu.
Naomba wadau tushauriane je niendelee na pushap maumivu yatapungua najua hilo lakini naogopa kupata six packs lol,ni kweli ukiendelea na hili zoezi unapata mgawanyiko wa mwili kama mwanaume maana hadi mikono inauma nisije nikawa kama john cena au daniel brian,,,
Jingine naomba kujua mazoezi gani nifanye yakunifanya kuwa fit msaada wadau
NB: Sikati tumbo wala kupunguza uzito nataka tu kuwa fit

