Napenda kupiga push up

Napenda kupiga push up

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
17,396
Reaction score
19,356
Takwenyaaaa!!!!?

Ndugu zangu napenda sana kupiga mazoezi malaini asubuhi sio kwa ajili ya kupunguza mwili au kukata tumbo hapana,ni kwa ajili tu ya kuwa fit asubuhi kabla ya kwenda kusaka doo na jioni kabla sijapika kula na kufanya mambo mengine.

Tatizo ni kwamba napigia mazoezi ndani nasina vifaa vya gym nina kamba tu,tatizo mazoezi kama kujump na kuinuka na kukaa,kichura hayatoi jasho hata kidogo yaani, alafu yanapoteza muda na jasho utoi tangia pasaka niliwaza natakiwa nipate kazoezi kagum kidogo ila cha muda kidogo ambacho kinatoa jasho fasta ili nioge niwahi job.

Mweeee tangu jumatatu nikaanza kupiga push up hadi leo asubuhi baada ya kupiga moja tu nilitamani kuzimia kwa maumivu makali ya tumbo.yaani nyama za tumbo zinauma hapa sina hamu.

Naomba wadau tushauriane je niendelee na pushap maumivu yatapungua najua hilo lakini naogopa kupata six packs lol,ni kweli ukiendelea na hili zoezi unapata mgawanyiko wa mwili kama mwanaume maana hadi mikono inauma nisije nikawa kama john cena au daniel brian,,,

Jingine naomba kujua mazoezi gani nifanye yakunifanya kuwa fit msaada wadau

NB: Sikati tumbo wala kupunguza uzito nataka tu kuwa fit
 
Unaishi maeneo gani? Nafikiri fanya jogging kimbia kwa dk 20 then ukimaliza piga push up au sit ups. Yani siku yako utaianza vizuri sana

saa 11 kuamka kukimbia huku naona msala bado giza sana
 
Endelea na push ups mkuu....japo nakushauri utafute program ili uifuate.
Nina program moja in 2 months ukiifuata utafanya 150 push ups non stop
 
Unaruka kamba na hutoi jasho? Una ngozi ya chuma?...fanya hivi..kunywa maji ya uvuguvugu then ruka kamba miruko 100, pumzika sekunde kama 30 halafu ruka tena 100 au 200 then malizia na 200 au 100. Usipotoka jasho basi nenda hospitali ukachunguzwe inawezekana zamani ulikuwa samaki so bado hujawa binadam kamili kama sisi bado upo kwenye evolution.
 
Ukiruka kamba kisawa sawa lazima utoke jasho, ikiwezekana jaribu kuruka kamba bila ya kuwa tumbo wazi na jitahidi kabla ya mapumziko ya kila raundi uwe umeruka idadi nyingi, lazima utavuja jasho.

Endelea na mazoezi - maumivu kawaida kwa mtu ambae hajawahi fanya mazoezi muda mrefu au kwa yule ambae hajawahi fanya mazoezi kabisa.

Mazoezi ni mengi sana labda nikupe hii moja - tafuta sehemu yenye kilima karibu na eneo unaloishi halafu uwe unapandisha kilima kwa kukimbia na kushuka mdogo mdogo, fanya hivyo kwa raundi kadhaa.

Na ikiwezekana kama unaweza pata au upo eneo la ngazi pandisha kwa kukimbia na kushuka mdogo mdogo kwa raundi kadhaa vile vile.
 
Endelea na push ups mkuu....japo nakushauri utafute program ili uifuate.
Nina program moja in 2 months ukiifuata utafanya 150 push ups non stop

naogopa vigimbi sitaki mwili uaribike,hizo za kizungu hawaangalii kama mtu utatoa vigimbi
 
Unaruka kamba na hutoi jasho? Una ngozi ya chuma?...fanya hivi..kunywa maji ya uvuguvugu then ruka kamba miruko 100, pumzika sekunde kama 30 halafu ruka tena 100 au 200 then malizia na 200 au 100. Usipotoka jasho basi nenda hospitali ukachunguzwe inawezekana zamani ulikuwa samaki so bado hujawa binadam kamili kama sisi bado upo kwenye evolution.

asante mkuu nitajitahidi ila hofu yangu ni mikono kukomaa maana ukiruka kamba joints za juu zinauma sana
 
tafuta chuma chenye uzito wa kg 20 kila upande
 
Ukiruka kamba kisawa sawa lazima utoke jasho, ikiwezekana jaribu kuruka kamba bila ya kuwa tumbo wazi na jitahidi kabla ya mapumziko ya kila raundi uwe umeruka idadi nyingi, lazima utavuja jasho.

Endelea na mazoezi - maumivu kawaida kwa mtu ambae hajawahi fanya mazoezi muda mrefu au kwa yule ambae hajawahi fanya mazoezi kabisa.

Mazoezi ni mengi sana labda nikupe hii moja - tafuta sehemu yenye kilima karibu na eneo unaloishi halafu uwe unapandisha kilima kwa kukimbia na kushuka mdogo mdogo, fanya hivyo kwa raundi kadhaa.

Na ikiwezekana kama unaweza pata au upo eneo la ngazi pandisha kwa kukimbia na kushuka mdogo mdogo kwa raundi kadhaa vile vile.

eneo nalokaa halina mlima alafu saa 11 kuamka kukimbia naona msala,kingine kamba mikono inakaza naogopa kukomaa
 
saa 11 kuamka kukimbia huku naona msala bado giza sana

Nunua hii machine,

Machine.JPG
 
Ukiruka kamba kisawa sawa lazima utoke jasho, ikiwezekana jaribu kuruka kamba bila ya kuwa tumbo wazi na jitahidi kabla ya mapumziko ya kila raundi uwe umeruka idadi nyingi, lazima utavuja jasho.

Endelea na mazoezi - maumivu kawaida kwa mtu ambae hajawahi fanya mazoezi muda mrefu au kwa yule ambae hajawahi fanya mazoezi kabisa.

Mazoezi ni mengi sana labda nikupe hii moja - tafuta sehemu yenye kilima karibu na eneo unaloishi halafu uwe unapandisha kilima kwa kukimbia na kushuka mdogo mdogo, fanya hivyo kwa raundi kadhaa.

Na ikiwezekana kama unaweza pata au upo eneo la ngazi pandisha kwa kukimbia na kushuka mdogo mdogo kwa raundi kadhaa vile vile.

Mzee sio kila mtu anakaa kimara
 
push up zipo za aina nyingi kidogo ikitegemea na wataka mwili wako uweje

mimi nina mwili wa kawaida ambao mtu akiniangalia atajua ni mwana mazoezi lakini sijawahi hata siku moja kufanya mazoez ya either kukata tumbo au kutoa nyama naturally nina umbo curvy hivi
NAPENDA MAZOEZI YA KUFANYA NIWE FITI YAAN KWA AFYA IN GENERAL
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom