Yeah man uko sawa. Nimefatilia uzi wake tangu mwanzo ikiwa ni pamoja na michango ya watu humu lakini nikaona imekaa vibaya. Ila nilichofanya ni kupiga moyo konde kwa manufaa yetu wote nikaamua kuja na hizo bunduki.
Hii itawasaidia wengi hasa beginners na wazoefu kujifunza machache,tatizo la wadada walio wengi ni waoga na wakati mwingi wanazani kufanya mazoezi ni kujikomaza au kujiumiza. Pia Tanzania hatuna wataalamu wa kutosha wa kuelimisha masuala ya mazoezi na utumiaji wa vifaa mbadala wa vile vya wenzetu.
Endelea na push ups mkuu....japo nakushauri utafute program ili uifuate.
Nina program moja in 2 months ukiifuata utafanya 150 push ups non stop
asante mkuu nitajitahidi ila hofu yangu ni mikono kukomaa maana ukiruka kamba joints za juu zinauma sana
niambie naipata wapi
push up ni zoezi kali sanaPush Ups ni shida aisee....i find it tuff kuliko kupiga chuma. Honestly kuna kipindi i used to do 70 to 80 non stop...like 2 years ago.
Ila saa hvi 30 tu hoi. Lol
Panda boat au ndege njoo zanzibar, zipo kibao, used na mpya mfuko wako tu, zipo kila aina ni mfuko na chaguo lako
asante.......