nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 10,690
- 9,869
Napenda kujua tafsiri ya expire date kwenye kadi je? Ikifika muda huo nini kifanyike?
Na kama upo nje ya nchi itakuwaje? Na je? Siku namba yangu ya voda ikifungiwa au akapewa mtu mwingine vipi usalama wa maokoto yangu? Maana yake details zangu namba yangu ya voda inatumika wakati wa ku deposit through remitly.
MAJIBU TAFADHALI
Na kama upo nje ya nchi itakuwaje? Na je? Siku namba yangu ya voda ikifungiwa au akapewa mtu mwingine vipi usalama wa maokoto yangu? Maana yake details zangu namba yangu ya voda inatumika wakati wa ku deposit through remitly.
MAJIBU TAFADHALI