Check na hawa wanavyofanana
Huo nao ni ushauri mzuri kwa wababaAta watoto mara nyingi wanafanana na mama zao coz wanakaa na mama muda mrefu.. So kama baba unataka fanana na mwanao jaribu kuwa karibu naye..
Huo nao ni ushauri mzuri kwa wababaAta watoto mara nyingi wanafanana na mama zao coz wanakaa na mama muda mrefu.. So kama baba unataka fanana na mwanao jaribu kuwa karibu naye..
Duh this is how u describe your parents?!si kweli,mi wazazi wangu wana zaidi ya miaka 40 pamoja lakini hawafanani,mzee ana pua lake pana na macho tongozi wakati bi mkubwa pua ndogo na macho ya nyege,ulichokizowea ni hiyo jozi yao
Hahaahahaa...Ushaanza kufanana na mkeo?
Duuu...wamefanana sn na wahengaKama hawa..?View attachment 515404
Duuu...wamefanana sn na wahengaKama hawa..?View attachment 515404
Vinasaba vinaungana in nature na kusababisha watu kufanana.kisayansi huwezi kuipata ila ktk imani na mambo ya rohoniNimekuwa nifuatilia watu wanaishi kama mke na mme na mara nyingi ukiwaangalia wanafanana kama mtu na dada yake.Je nini inasababisha naomba kujuzwa