Nape vs Lowassa

Status
Not open for further replies.
wewe ulaaniwe kwa kuamini kwako kuwa Lowasa alifuata nguvu za giza Nigeria,una laana kwa Mungu wewe,hivi kweli Pasta wa Nigeria alipokwenda Lowasa ni nguvu za giza,tubu kabla hujapigwa na ghadhabu ya Mungu kwa kiburi chako na kukufuru,Lowasa atawashangaza wengi na hamtaamini
 
kwann wasimchinde,chama c mtu mmoja ndgu,na ni bora kupotea kwa mwanachama kuliko kupotea kwa chama
 
The only survivor ya Nape ni kuacha kiherehere na visasi visivyo na maana,Hebu angalieni ufisadi unaofanywa na watu walio karibu na dola,lakini kwenye majukwaa wanamhubiri Lowasa ndiyo fisadi,at the end of a day Nape atajkuta ameachwa peke yake na kujimaliza angali na umri mdogo sana,ikiwa wanachikifanya wao ni wasafi kabisa hakika watafanikiwa lakini kama kuna madudu yao na wao wameyaficha hakika Mungu atawaumbua kwa kuwa ni unafiki mkubwa sana.by the way mimi kwangu Lowwasa ni kiongozi shupavu pamoja na mapungufu kama binadamu wengine
 
ni mawazo finyu ya watu wachache km ninyi na kumbuka kupigiwa makof c kufurahisa yanaweza yakamaanisha vingine hata mpoto aliwah nena,nape ataendelea kufanya kazi aliyoagizwa na nadhan wengi mnasahau kuwa anayofanya nape si maamuzi yake binafsi ila anasimamia kile alichoagizwa akifanye kwa nafasi yake
 
kumbuka nape hasimami km nape anasimama km chama mnamuandama bure kwa ufnyu wenu wa mawazo
 
kumbuka nape hasimami km nape anasimama km chama mnamuandama bure kwa ufnyu wenu wa mawazo

punguza jazba mkuu kusema Nape anatekeleza matakwa ya chama vilevile kuna kundi la wanachama wengine wenye mwelekeo tofauti na wake na wenye nguvu na ushawishi katika chama kuliko Nape na mwenyekiti Jakaya kikwete , kwahiyo unapojadili basi kuwa na wazo ikibidi chama kigawanyike na vitoke vyama viwili tofauti na si kwamba Nape na JK ndio wenye chama hicho
 
Kazi ya vuvuzela ni kutoa kelele sasa nape atawezaje kuka kimya?nape hatonyamaza mpaka mafisadi watoke kwani hiyo ndiyo ajenda yake ndani ya chama.kazana kijana kujaribu kukirudisha chama kwenye ramani.
 
kazi hipo nadhani ni wakati wa kuviziana ila najua mwisho mnyonge atachinjwa tu
 

nape amefanya tuwasahau akina karamagi , akina Zakia meghji na wengine na kubaki na lowassa tu
 
Nasikia Nape amesema mungu ndio anajua vita yake na lowassa alitumwa tu na yeye akakubali kwa sababu aliona ni wakati muafaka wa kutaka kulipiza kisasi kwani lowassa na makamba walitaka kumfukuza kwenye chama kipindi kile cha umoja wa wamama wa CCM (UVCCM) alipotaka kugombea uenyekiti wake na wakamzuia kwa kigezo cha umri na alipopiga kelele wakataka kumtimua chamani ndio akaibuka na skendo ya ufisadi wa jengo la UVCCM la ubia na PATEL
 
None will go out, but NAPE kawekewa governor tayari. Angalia kama ataendelea na ishu zake mbofumbofu. EL ana uwezo wa kufanya chochote, hategemea chama kumjenga. Anatafuta umaarufu na madaraka tu
 
Nashawishika kuamini CCM hawataweza kumuondoa Mmasai Lowassa ndani ya chama.Ninaamini Mh.Lowassa ana nguvu kubwa ndani ya chama kuliko hata Mwenyekiti hasa inapokuja katika NEC. Hivyo sioni dalili ya Lowassa kung'oka come September na hivyo hivyo sioni kitakachozuia Lowassa kuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM mwaka 2015. kwa haya naweza kusema kwa uhakika na kujiamini na kwamba sitameza maneno yangu hata kwa dawa!
 
JK NDO ANAWAUZA WOTE,akikutana na Nape anamwambia kijana endelea mpaka kieleweke,====Akikutana na swaiba Lowassa anamwambia nachana na vuvuzela la nape we jari mamabo yako tupo pamoja.
 
JK NDO ANAWAUZA WOTE,akikutana na Nape anamwambia kijana endelea mpaka kieleweke,====Akikutana na swaiba Lowassa anamwambia nachana na vuvuzela la nape we jari mamabo yako tupo pamoja.

sasa kama mwenyekiti wa chama anawabeza watendaji wake ndani ya chama kweli kuna chama hapo?
 
 
January Makamaba: tunapokuwa kwenye vikao vya chama tena vikubwa yeye MNAUYE NAPE ANAGOJEA aseme msimamo wake kisha ndio aje na mawazo yake , na wakati wote mawazo yake uendana na mawazo ya mwenyekiti sijui ili la kujivua gamba limeanza kwa mwenyekiti au Nape lakini cha msingi ni chama lazima kiwe na watu wenye mawazo huru
 
<br />
<br />
Kama hakufuata hivyo tujuze alichokifuata nigeria
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…