Nape vs Lowassa

Status
Not open for further replies.
Ukweli hapa ni usanii hakuna wakuthubutu kuwafukuza hao three guys mtikisiko ndani ya chama ni mkubwa sana endapo watafanya hivyo!

Ndo maana nasema kwamba kuna watu bado kongwa la utumwa halijawatoka. Kama wao wangekuwa wakubwa kuliko chama wangekuwa na moyo wa uthubutu kwa kujiondoa na hapo wangethibitisha umwamba wao. Hawa ni paper tigers, hawana lolote.
 
Wadanganyika bana kwa kuangalia personalities !!! Mi hoi !
 
Maneno matupu hayavunji mfupa. Nilitarajia akina Nape wangekuwa wanaandaa na kutekeza maazimio ya nec, kama yapo. Uvuvuzela wao unaiweka ccm pabaya.
Ngoja nikamwombe Mungu aniepushe na upayukaji.


bya.
 
wote takataka tu, najua hata tukisema siku kumi na mbili hakuna kitakachofanyika kwani JK ni kama yule nyoka asiye na sumu, so hana uwezo wa kufanya maamuzi, nasubiri kifo cha CCM kwa kuendelea kuonyesha kuwa wamejaa ahadi hewa! shame to all magamba, after magamba njooni na kuparua mapezi!
 
jambo ambalo wengi hawalijui ni kuwa lowasa na jk hawana uadui! kumlinganisha na nape ni kama tyson na matumla! lowasa ni mashine ingine, ndie pekee tumaini lililobaki kuiokoa nchi hii...
 
We want leaders with balls! Where is Mubarak today with his rhetoric over the Nile River water rights? Shinyanga, Nzega na Monduli kamwe hawatamsahau.
huyu bwana na nyerere hawaogopi wala kuwababaikia eti wazungu.........Mwalimu alimpa mzungu 24........baada ya kusema serikali ya tanzania ipo mfukoni mwake......... Lowassa kweli ana uwezo huo pia...
 
Hata ile sentensi ya 'watu wasiogope kutoa maamuzi' ilikua ni dongo kwa kina NAPE kua wasiogope, waanze kutoa maamuzi ili yeye ajibu mapigo
 

WEWEE, UNAISHI ULAYA NINI? Kushangiliwa kule kwa Lowassa kulitolewa pesa mwanangu! Lowassa hafanyi kitu siku hizi bila kuchochea kwa fedha. Makofi mengi aliyopigiwa Bungeni yalilipiwa; mengi yalipigwa na Wazanzibari ambao inaaminika wanarubuniwa kwa urahisi zaidi kuliko Wabunge wengine. Wagawa fedha wakuu walikuwa Pindi Chana, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, na Peter Serukamba, Mjumbe wa NEC ya CCM!
 
sasa si mngoje siku 90 ziishe ndio
mtoe tathmini zenu?!

taharifa za chama cha magamba zinasema siku zitasogezwa mpaka 120 na si 90 mkuu , inasemekana kulikuwa na mawasiliano yanayojichanganya kati ya wajumbe wa chama ndio maana wakasema siku 90 na wengine wanasema siku 120......
lakini ukijaribu kuangalia misimamo ya wakuu wa chama hiki imepungua sana kwani Mukama anasema si lazima kufukuzana ili kuimarisha chama na wajumbe wengine wanasema ni lazima gamba liondoke , na gamba limeweza kuwasiliana na wajumbe wengi wa NEC kuhusu mustakabali wake na kabla ya kundi hili kwenda kwenye NEC litaongea na wanahabari na kuweka msimamo wao
 
hii beto ni tamu hapa ilipofikia, na ukitaka ufaidi kuiona ni vyema ukaaka kimya jukwaan kama unangalia mieleka vile then mwisho utaona anaechapwa! lets be kwayat tuone mwisho wa mbio hizi
 
Lowasa kashika mpini wa kisu, JK na Nape wameshika makali ya kisu..tuvute subira bado kidogo utaona damu
 
yule dogo ana siku 11
za nini tena?tunamwombea sana,nadhani na LOWASSA anamwombea maana siku hizi kaokoka naenda hadi kwa tb joshua nigeria.sema tunoje september si ndo mwisho wa wanaohusika na UFISADI?
 
wewe ulaaniwe kwa kuamini kwako kuwa Lowasa alifuata nguvu za giza Nigeria,una laana kwa Mungu wewe,hivi kweli Poasto wa Nigeria alipokwenda Lowasa ni nguvu za giza,tubu kabla hujapigwa na ghadhabu ya Mungu kwa kiburi chako na kukufuru,Lowasa atawashangaza wengi na hamtaamini
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…