WAHENGA mkuu...Ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo. Haki ya nani wanamuziki wa zamani walikuwa na maono!
View attachment 477611
Wewe Mwenyewe Umeandika Kwa Jazba Unategemea Upate Majibu Laini?
Safi Sana Mwana Halisi Kwa Kuandika Uhalisia Kuhusu Bashite.
Tulia tulia wewe UVCCM najua na wewe utakua umefoji vyeti tu, ngoja tuanze na Bashite kwanza alafu tutawafuata nyinyi....hapa ni zamu kwa zamu
Unataka achukue hatua gani unaonekana nawe kihiyo
Msitake kutuhamisha,tutaendelea kuwasaka wazungu wa unga.Vyeti vinataka kufunika biashara ya unga.Hatukubali.Mada kuu kwa sasa ni "TOKOMEZA MADAWA YA KULEVYA TANZANIA".Tazama Ramani utaona nchi nzuri....Majira yetu sasa....Naona mnataka kutuhamisha.
Mada kuu nchini now ni wekavyeti.com
U ar idiotUkiona mtu mzima analia ujue kuna jambo. Haki ya nani wanamuziki wa zamani walikuwa na maono!
View attachment 477611
Vyeti vya Sianga viko safi hakuna shida na ndiye muhusika wa vita hii ya madawa. Huyo Bashite hahusiki na hii vita, yeye alijichukulia madaraka ili apate nafasi ya kuwataja wabaya wake wachafuke tuu na kesha FUKUZWA KWENYE JUKUMU HILO. Kwahiyo vita iko palepale tena kisayansi zaidi.Msitake kutuhamisha,tutaendelea kuwasaka wazungu wa unga.Vyeti vinataka kufunika biashara ya unga.Hatukubali.Mada kuu kwa sasa ni "TOKOMEZA MADAWA YA KULEVYA TANZANIA".Tazama Ramani utaona nchi nzuri....Majira yetu sasa....
Makonda yupi huyo?Mkuu wetu wanamtambulisha kwa jina la "Daudi (makonda kwa sasa)" , Angekuwa ametajwa kiongozi mwingine Mhe Nape angekuwa ashachukua hatua, ila kwa kuwa ametajwa Jemedari anaamua kupotezea
Sasa tatizo la Mwanahalisi hapo lipi? Kusema ukweli alipa sifuri? Au kwenda kuweka kambi Kolomije??Wana jukwaa heshima kwenu.
Niende kwenye hoja.
Gazeti la leo la Mwanahalisi limeandika taarifa ya uchochezi, kudhalilisha na kuchonganisha. Nikiwa kama mkazi wa Dar es salaam imenikwaza sana.
Kuna aya nyingi zinazosema '' Daudi (Makonda kwa sasa)" huu ni udhalilishaji, Nape upo kimya kwa nini? au bado una bifu la wem#?
Daudi (Makonda Kwa sasa) alipata sifuri (division zero). Makonda amekana juzi kwenye kikao cha RC hajawahi kupata zero,unataka nini ili uchukue hatua.
Hivi ungekuwa umeandikwa wewe mh Nape ungekaa kimya?
Na usipolichukulia hatua juu ya hii habari, nitaamini unayoyafungia ni kwa sababu ya chuki.
Msijibu kwa jazba tushee mawazo
Nawasilisha
Kama kweli Bashite hakupata sifuri njia ilikuwa ni moja tu afungue kesi Mahakamani kwa kuchafuliwa jina dhidi ya wafuatao:-Wana jukwaa heshima kwenu.
Niende kwenye hoja.
Gazeti la leo la Mwanahalisi limeandika taarifa ya uchochezi, kudhalilisha na kuchonganisha. Nikiwa kama mkazi wa Dar es salaam imenikwaza sana.
Kuna aya nyingi zinazosema '' Daudi (Makonda kwa sasa)" huu ni udhalilishaji, Nape upo kimya kwa nini? au bado una bifu la wem#?
Daudi (Makonda Kwa sasa) alipata sifuri (division zero). Makonda amekana juzi kwenye kikao cha RC hajawahi kupata zero,unataka nini ili uchukue hatua.
Hivi ungekuwa umeandikwa wewe mh Nape ungekaa kimya?
Na usipolichukulia hatua juu ya hii habari, nitaamini unayoyafungia ni kwa sababu ya chuki.
Msijibu kwa jazba tushee mawazo
Nawasilisha