jamiiyamtimkavu
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 274
- 192
Wana jukwaa heshima kwenu.
Niende kwenye hoja.
Gazeti la leo la Mwanahalisi limeandika taarifa ya uchochezi, kudhalilisha na kuchonganisha. Nikiwa kama mkazi wa Dar es salaam imenikwaza sana.
Kuna aya nyingi zinazosema '' Daudi (Makonda kwa sasa)" huu ni udhalilishaji, Nape upo kimya kwa nini? au bado una bifu la wem#?
Daudi (Makonda Kwa sasa) alipata sifuri (division zero). Makonda amekana juzi kwenye kikao cha RC hajawahi kupata zero,unataka nini ili uchukue hatua.
Hivi ungekuwa umeandikwa wewe mh Nape ungekaa kimya?
Na usipolichukulia hatua juu ya hii habari, nitaamini unayoyafungia ni kwa sababu ya chuki.
Msijibu kwa jazba tushee mawazo
Nawasilisha
Niende kwenye hoja.
Gazeti la leo la Mwanahalisi limeandika taarifa ya uchochezi, kudhalilisha na kuchonganisha. Nikiwa kama mkazi wa Dar es salaam imenikwaza sana.
Kuna aya nyingi zinazosema '' Daudi (Makonda kwa sasa)" huu ni udhalilishaji, Nape upo kimya kwa nini? au bado una bifu la wem#?
Daudi (Makonda Kwa sasa) alipata sifuri (division zero). Makonda amekana juzi kwenye kikao cha RC hajawahi kupata zero,unataka nini ili uchukue hatua.
Hivi ungekuwa umeandikwa wewe mh Nape ungekaa kimya?
Na usipolichukulia hatua juu ya hii habari, nitaamini unayoyafungia ni kwa sababu ya chuki.
Msijibu kwa jazba tushee mawazo
Nawasilisha