Nape Nnauye: TCRA inaandaa kanuni za kubana matumizi ya mitandao ya kijamii

Wameona vijana wao waluowaweka kuwatetea kwenye mitandao hoja zao wakati wote zinamezwa na hoja za vijana wanojitambua. La sheria ya mitandao imewashinda sasa wanakuja na mengine.wewe magu wewe kama umshindwaji umshindwaji.Hata ukifanya nini huwezi kuongoza.Hauna kipaji cha kuongoza,unalazimsha tu.
 
Habari wanaJF,

Waziri wa Habari Nape Nnauye amesema kuwa Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA inaandaa kanuni za kudhibiti matumizi ya mitandao ya kijamii nchini.
Nchi masikini hupambana zaid na watu wao badala ya kupambana na umasikini. Inaniuma sana kuona kitengo kinachofanya kazi vizuri nchini mwangu ni TCRA
 
Huyu jamaa ana kiburi sana,moyoni mwake anajuwa hakushinda kihalali .Ndio maana anatukomoa.lakini.shetani siku zofe hawezi mshinda mungu.anguko la ccm linakuja ka farao.
 
Wanatumia nguvu nyiingi wakati uwezo wanao, wazime mitandao turudi kwenye S . L. P
Dah, umenikumbusha SLP ya shule yangu, Shule ya Msingi Kigona, SLP 30, Kigoma ; nimekumbuka zile bahasha na barua za pamoja zilizoitwa ' Airform'.
 
Sheria zimetumgwa ili kulinda watawaala

chnically, post: 19383946, member: 373722"]Kama tumeamua kuvunja katiba kwa sababu ya kumlinda mtu mmoja.

Wakati wakina Mbowe,Zitto ,Lissu wanatukanwa kwenye mitandao lakini hakuna mtu ameshawakamata watukanaji.

Lakini wanaomsema Rais wanakamatwa kila Siku.

Kichekesho ni kuwa sheria mpaka mtu aliyelalamika kutukanwa mpaka atoe taarifa ndio zifanyiwe Kazi.

Hawa wanaokamatwa kwa kumsema Rais hivi Rais anatoa malalamiko sangapi police?.

Au ndio kujipendekeza.

Kana sheria imetungwa kwa mtu mmoja tuambiwe tu ndani ya sheria hiyo.

Kiufupi tungeanza na police ndio wachochezi no 1 kubambikia watu kesi na kuua watu kimya kimya.

Tuwe Wa kweli police Tanzania ni tatizo.

shule ndogo + nguvu nyingi =nothing.[/QUOTE]




Sheria
 
Hivi kwa nini hii serikali inahangaika na kisichowezekana? Dawa ni moja tu nayo ni kufungia mtandao na kama hilo hawaliwezi wanyamaze waache kukurupuka kama wehu. Nape Nnauye, kwa kukukumbusha tu hii ni karne ya 21, kwa nini msiagize tu TCRA ifungie mtandao tubaki gizani bila internet?

Hilo la kudhibiti matumizi ya mitandao ya kijamii nchini hamtaliweza, ilipo dunia sasa hivi ni ukilaza hata kulifikiria. Ila na mimi nawapa tahadhari, siku kwa upumbavu tu mkikurupuka kufungia mtandao (internet), mtakuwa mmefungulia bomba ambalo litasababisha mafuriko yenye madhara makubwa zaidi kwenu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Huyu naye ashughulike vitu vya muhimu kama kufufua michezo aache umbea wa mitandao.
 
Safi sana Nape.

Duniani kote hamna democrasia ya matusi.
Kama huna tabia ya kutukana matusi na kuzushia watu uongo kwa nini uogope kanuni??
Basi sawa bwana mwasiti, lkn ukumbuke kuna watu wamewasema watu wasio na mamalaka hakuna chombo cha dola kina shughulikia hilo
 
Sheria zimetumgwa ili kulinda watawaala

chnically, post: 19383946, member: 373722"]Kama tumeamua kuvunja katiba kwa sababu ya kumlinda mtu mmoja.

Wakati wakina Mbowe,Zitto ,Lissu wanatukanwa kwenye mitandao lakini hakuna mtu ameshawakamata watukanaji.

Lakini wanaomsema Rais wanakamatwa kila Siku.

Kichekesho ni kuwa sheria mpaka mtu aliyelalamika kutukanwa mpaka atoe taarifa ndio zifanyiwe Kazi.

Hawa wanaokamatwa kwa kumsema Rais hivi Rais anatoa malalamiko sangapi police?.

Au ndio kujipendekeza.

Kana sheria imetungwa kwa mtu mmoja tuambiwe tu ndani ya sheria hiyo.

Kiufupi tungeanza na police ndio wachochezi no 1 kubambikia watu kesi na kuua watu kimya kimya.

Tuwe Wa kweli police Tanzania ni tatizo.

shule ndogo + nguvu nyingi =nothing.




Sheria[/QUOTE]
Unapokamatwa na bangi nani huwa mlalamikaji? ushawahi kwenda mahakamani hata siku moja katika hizi kesi za uchochezi ukaona ni nani vesus nani? Huwezi kushindana na serikali nakushari fanya kazi kwa bidii endeleza maisha yako haya mambo utaishia kunywa sumu bure.......au jela kwa kuwa naona nawe roho ya uchochezi inaanza.
 
Hivi kwa nini hii serikali inahangaika na kisichowezekana? Dawa ni moja tu nayo ni kufungia mtandao na kama hilo hawaliwezi wanyamaze waache kukurupuka kama wehu. Nape Nnauye, kwa kukukumbusha tu hii ni karne ya 21, kwa nini msiagize tu TCRA ifungie mtandao tubaki gizani bila internet?

Hilo la kudhibiti matumizi ya mitandao ya kijamii nchini hamtaliweza, ilipo dunia sasa hivi ni ukilaza hata kulifikiria. Ila na mimi nawapa tahadhari, siku kwa upumbavu tu mkikurupuka kufungia mtandao (internet), mtakuwa mmefungulia bomba ambalo litasababisha mafuriko yenye madhara makubwa zaidi kwenu.
WaTanzania waoga mitandao inafungwa na hamfanyi lolote, mlianza ukuta polisi wakawa wanaonyesha mazoezi yao duh mkaogopa mkaja na kata funua sijui imefikia wapi mitandao inafungwa sababu kwenye maandamano tunawasubiri tuwapasue mnakimbilia kwenye mitandao hatuna sehemu ya ku practise mazoezi yetu....njooni barabarani huwa nafurahi sana nikiona bendera nyekundu kisha tangazo "ilani ilani kwa mamlaka niliyopewa na jamuhuri ya muungano wa tanzania natamka kwamba maandamano haya ni kinyume cha sheria jeshi la polisi linawaamuru mtawanyike la si-hivyo tutatumia nguvuuu" baada ya hapo hamna mbwa anakaa mna kimbilia kwenye key board/pads
 
Habari wanaJF,

Waziri wa Habari Nape Nnauye amesema kuwa Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA inaandaa kanuni za kudhibiti matumizi ya mitandao ya kijamii nchini.
Nape inampasa ajiongeze!
waziri kazi yake ni kusaidia umma kupata unafuu, anatakiwa abuni njia nyepesi Zaidi za watu wake kuishi kwa Amani na sio kila asubuhi kufanya mikakati ya kutia ugumu maisha!
Zaidi ya kutoa bendera kwa diamond mi sijawahi kumsikia kafanya chochote nje ya kukataza, kukemea kuamuru!
viongozi vijana wanakatisha tamaa kabisa nchi hii!
 
Safi sana Nape.

Duniani kote hamna democrasia ya matusi.
Kama huna tabia ya kutukana matusi na kuzushia watu uongo kwa nini uogope kanuni??
Katika maisha ukiisahaanza kuona kila anaepita ni mbaya kwako, yafaa ujitafakari kwanza. Tatizo laweza kuwa ni wewe mwenyewe. Utitiri wa amri/sheria za papo kwa papo kila kukicha haliwezi kuwa suluhisho. Hata huyo anaeng'ang'ania madaraka Gambia, wakati wake alifikia hatua hata kuwakamata wananchi wake anaowahisi na kuwatuhumu kumroga na hatimae kuwanywesha dawa za eti kuwatoa uchawi. Haikusaidia na bado akashindwa uchaguzi na mengine ni kama yalivyo sasa. AMEN
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom